Dogo tofautisha 2014&2015.Miaka hiyo kulikua na B+ ambayo ina thamani ya B ya sasa kwahiyo C ya miaka hiyo tajwa ni D ya sasa.Ila kwa mwaka huu wamerudisha utaratibu uliokua unatumika huko nyuma wameondoa B+ ko C ya ss ina thamani ya 3.
Dogo tofautisha 2014&2015.Miaka hiyo kulikua na B+ ambayo ina thamani ya B ya sasa kwahiyo C ya miaka hiyo tajwa ni D ya sasa.Ila kwa mwaka huu wamerudisha utaratibu uliokua unatumika huko nyuma wameondoa B+ ko C ya ss ina thamani ya 3.
Mkuu hapo anamaanisha usajili utafanyika jumatatu ya tarehe 26 september, halafu mtarudi nyumban hadi tarehehe 10 october mtakaporudi kwa ajili ya orientation week then tareh 17 mtaanza muhura mpya wa masomo
Mkuu hapo anamaanisha usajili utafanyika jumatatu ya tarehe 26 september, halafu mtarudi nyumban hadi tarehehe 10 october mtakaporudi kwa ajili ya orientation week then tareh 17 mtaanza muhura mpya wa masomo
Unaenda na vyeti vyako orgn n uwe umelipa ada....ifm ndo walivyo usajili huwa unawah hvyohvyo lakn hata ukienda Oct utakuta unaendelea tu my b utaratb uwe umebdlk