Ifikie mahali tumpongeze Rais Samia

Ifikie mahali tumpongeze Rais Samia

LopoLopo

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2025
Posts
229
Reaction score
135
Chini ya Rais Samia Wanachama wapya 900,000 wamejiunga na Mifuko ya Kinga ya jamii.

Kutokana na usimamizi na maelekezo ya Rais Samia utekelezwaji wa Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 ambayo imeweka utaratibu madhubuti na kuimarisha utekelezaji wa afua stahiki za kinga ya jamii. Utekelezaji wa sera hiyo pamoja na afua nyingine umesaidia kuongeza idadi ya wanachama wachangiaji kutoka 849,886 mwaka 2021, hadi 1,758,018 mwaka 2025.

Rais Samia ameongeza na kuboresha mfumo wa ulipaji wa mafao kwa wastaafu , hii ni baada ya kufanya mabadiliko ya kikokotoo kwa wastaafu. Maboresho hayo yameongeza wigo wa malipo ya mkupuo kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 kwa waliokuwa wanalipwa asilimia 50 kabla ya kuunganisha mifuko mwaka 2018, na kutoka asilimia 33 hadi asilimia 35 kwa waliokuwa wanapata asilimia 25, Serikali yake pia imeongeza imeongeza kima cha chini cha pensheni kutoka Shilingi 100,000 hadi Shilingi 150,000 kwa mwezi na kuhuisha pensheni ya kila mwezi kwa kiwango cha asilimia mbili kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo .
 
Chini ya Rais Samia Wanachama wapya 900,000 wamejiunga na Mifuko ya Kinga ya jamii.

Kutokana na usimamizi na maelekezo ya Rais Samia utekelezwaji wa Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 ambayo imeweka utaratibu madhubuti na kuimarisha utekelezaji wa afua stahiki za kinga ya jamii. Utekelezaji wa sera hiyo pamoja na afua nyingine umesaidia kuongeza idadi ya wanachama wachangiaji kutoka 849,886 mwaka 2021, hadi 1,758,018 mwaka 2025.

Rais Samia ameongeza na kuboresha mfumo wa ulipaji wa mafao kwa wastaafu , hii ni baada ya kufanya mabadiliko ya kikokotoo kwa wastaafu. Maboresho hayo yameongeza wigo wa malipo ya mkupuo kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 kwa waliokuwa wanalipwa asilimia 50 kabla ya kuunganisha mifuko mwaka 2018, na kutoka asilimia 33 hadi asilimia 35 kwa waliokuwa wanapata asilimia 25, Serikali yake pia imeongeza imeongeza kima cha chini cha pensheni kutoka Shilingi 100,000 hadi Shilingi 150,000 kwa mwezi na kuhuisha pensheni ya kila mwezi kwa kiwango cha asilimia mbili kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo .

Hata yeye mwenyewe akisoma hizi sifa anashangaaa

Mnasifia hata akikohoa
 
Chini ya Rais Samia Wanachama wapya 900,000 wamejiunga na Mifuko ya Kinga ya jamii.

Kutokana na usimamizi na maelekezo ya Rais Samia utekelezwaji wa Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 ambayo imeweka utaratibu madhubuti na kuimarisha utekelezaji wa afua stahiki za kinga ya jamii. Utekelezaji wa sera hiyo pamoja na afua nyingine umesaidia kuongeza idadi ya wanachama wachangiaji kutoka 849,886 mwaka 2021, hadi 1,758,018 mwaka 2025.

Rais Samia ameongeza na kuboresha mfumo wa ulipaji wa mafao kwa wastaafu , hii ni baada ya kufanya mabadiliko ya kikokotoo kwa wastaafu. Maboresho hayo yameongeza wigo wa malipo ya mkupuo kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 kwa waliokuwa wanalipwa asilimia 50 kabla ya kuunganisha mifuko mwaka 2018, na kutoka asilimia 33 hadi asilimia 35 kwa waliokuwa wanapata asilimia 25, Serikali yake pia imeongeza imeongeza kima cha chini cha pensheni kutoka Shilingi 100,000 hadi Shilingi 150,000 kwa mwezi na kuhuisha pensheni ya kila mwezi kwa kiwango cha asilimia mbili kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo .
Lopolopo hawezi kuwa na akili timamu
 
Wakoloni walifanya maendeleo kuliko serikali yeyote hadi sasa. Lakini walikataliwa kwa sababu hawakutawala kwa ridhaa ya uma.

Samia hata ajenge Mbingu Tanzania hawezi kuonekana kama ni kitu maana hana ridhaa ya uma. Ukweli usiopingika japo ni mchungu.
 
Chini ya Rais Samia Wanachama wapya 900,000 wamejiunga na Mifuko ya Kinga ya jamii.

Kutokana na usimamizi na maelekezo ya Rais Samia utekelezwaji wa Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 ambayo imeweka utaratibu madhubuti na kuimarisha utekelezaji wa afua stahiki za kinga ya jamii. Utekelezaji wa sera hiyo pamoja na afua nyingine umesaidia kuongeza idadi ya wanachama wachangiaji kutoka 849,886 mwaka 2021, hadi 1,758,018 mwaka 2025.

Rais Samia ameongeza na kuboresha mfumo wa ulipaji wa mafao kwa wastaafu , hii ni baada ya kufanya mabadiliko ya kikokotoo kwa wastaafu. Maboresho hayo yameongeza wigo wa malipo ya mkupuo kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 kwa waliokuwa wanalipwa asilimia 50 kabla ya kuunganisha mifuko mwaka 2018, na kutoka asilimia 33 hadi asilimia 35 kwa waliokuwa wanapata asilimia 25, Serikali yake pia imeongeza imeongeza kima cha chini cha pensheni kutoka Shilingi 100,000 hadi Shilingi 150,000 kwa mwezi na kuhuisha pensheni ya kila mwezi kwa kiwango cha asilimia mbili kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo .
mama anapiga mzigo sio siri
 
Chini ya Rais Samia Wanachama wapya 900,000 wamejiunga na Mifuko ya Kinga ya jamii.

Kutokana na usimamizi na maelekezo ya Rais Samia utekelezwaji wa Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 ambayo imeweka utaratibu madhubuti na kuimarisha utekelezaji wa afua stahiki za kinga ya jamii. Utekelezaji wa sera hiyo pamoja na afua nyingine umesaidia kuongeza idadi ya wanachama wachangiaji kutoka 849,886 mwaka 2021, hadi 1,758,018 mwaka 2025.

Rais Samia ameongeza na kuboresha mfumo wa ulipaji wa mafao kwa wastaafu , hii ni baada ya kufanya mabadiliko ya kikokotoo kwa wastaafu. Maboresho hayo yameongeza wigo wa malipo ya mkupuo kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 kwa waliokuwa wanalipwa asilimia 50 kabla ya kuunganisha mifuko mwaka 2018, na kutoka asilimia 33 hadi asilimia 35 kwa waliokuwa wanapata asilimia 25, Serikali yake pia imeongeza imeongeza kima cha chini cha pensheni kutoka Shilingi 100,000 hadi Shilingi 150,000 kwa mwezi na kuhuisha pensheni ya kila mwezi kwa kiwango cha asilimia mbili kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo .
Chawa mpya karibu sana
 
Chini ya Rais Samia Wanachama wapya 900,000 wamejiunga na Mifuko ya Kinga ya jamii.

Kutokana na usimamizi na maelekezo ya Rais Samia utekelezwaji wa Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii ya Mwaka 2023 ambayo imeweka utaratibu madhubuti na kuimarisha utekelezaji wa afua stahiki za kinga ya jamii. Utekelezaji wa sera hiyo pamoja na afua nyingine umesaidia kuongeza idadi ya wanachama wachangiaji kutoka 849,886 mwaka 2021, hadi 1,758,018 mwaka 2025.

Rais Samia ameongeza na kuboresha mfumo wa ulipaji wa mafao kwa wastaafu , hii ni baada ya kufanya mabadiliko ya kikokotoo kwa wastaafu. Maboresho hayo yameongeza wigo wa malipo ya mkupuo kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 kwa waliokuwa wanalipwa asilimia 50 kabla ya kuunganisha mifuko mwaka 2018, na kutoka asilimia 33 hadi asilimia 35 kwa waliokuwa wanapata asilimia 25, Serikali yake pia imeongeza imeongeza kima cha chini cha pensheni kutoka Shilingi 100,000 hadi Shilingi 150,000 kwa mwezi na kuhuisha pensheni ya kila mwezi kwa kiwango cha asilimia mbili kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo .
Bima si ni hiyari? Ukiona mwenye Bima anakulazimisha kujiunga, ujue anapata faida kwako
 
Back
Top Bottom