namwakalima
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 458
- 260
Mkuu kutoka gugo kuna hii kitu nimekuja nayo..."Wakati dunia inajizinguusha kwenye mhimili wake kwa kasi ya Km 1675 kwa saa moja,Jupiter inajizunguusha kwa kasi ya Km 43,000 kwa saa",na hivyo kukamilisha mzunguuko/siku yake kwa saa 9.9 tu.
Mkuu tuendelee kupeana elimu maana hiyo kitu niliisoma pahala na wanadai Jupiter ina "rotate" kwa hiyo hapo juu.Wakuu naona mnachanganya ma-file mkirejea hiyo fact no. 9
Ni kwamba:-
1: Siku (day) hupatikana kwa sayari kujizungusha yenyewe kwenye mhimili wake yaani rotation, kwenye solar system ni Dunia "Earth" tu yenye uwezo wa ku-rotate na Dunia uchukua saa 24 kumaliza one rotation na matokeo yake ni kupata "usiku na mchana"
2: Tendo la sayari kuzunguka Jua linaitwa revolution na matokeo yake ni kupata misimu ya mwaka kama autumn,summer nk.
NB: kwahiyo wakuu ni makosa kusema Jupiter siku yake ukamilika baada ya saa 9 kwa sababu hai-rotate.
-hii ni kwa mujibu wa astronomy ya Copernicus "Greece scientist"
Miezi 12!!!!! January to DecemberKumbe kila sayari ina mwezi wake? Hivi dunia ina miezi mingapi?
Inawezekana unachosema ni kweli, lakini mimi nimeitoa hapa hebu isome hii profile ya jupiter vizuri.Jupiter Facts - Interesting Facts about Planet JupiterWakuu naona mnachanganya ma-file mkirejea hiyo fact no. 9
Ni kwamba:-
1: Siku (day) hupatikana kwa sayari kujizungusha yenyewe kwenye mhimili wake yaani rotation, kwenye solar system ni Dunia "Earth" tu yenye uwezo wa ku-rotate na Dunia uchukua saa 24 kumaliza one rotation na matokeo yake ni kupata "usiku na mchana"
2: Tendo la sayari kuzunguka Jua linaitwa revolution na matokeo yake ni kupata misimu ya mwaka kama autumn,summer nk.
NB: kwahiyo wakuu ni makosa kusema Jupiter siku yake ukamilika baada ya saa 9 kwa sababu hai-rotate.
-hii ni kwa mujibu wa astronomy ya Copernicus "Greece scientist"
Inawezekana unachosema ni kweli, lakini mimi nimeitoa hapa hebu isome hii profile ya jupiter vizuri.Jupiter Facts - Interesting Facts about Planet Jupiter
Umetumwa eeh!Teh!Sasa unataka aruke aende wapi
Anaenda juu!Kwani hapa sayari yetu kuku akiruka anaendaga wapi?
Hapa umenichanganya yule mleta mada amesema inachukua masaa tisa kukamilika siku?!Sio kuku tu hata binadamu hawezi kuishi huko, kuna upepo unaofikia spidi ya 600 - 1200km/ph + hali ya hewa yake na pia inaelezwa kuwa upande mmoja wa hii Sayari inachukua hadi miaka 62 kuona mwanga wa jua na pia inakuwa hivo hivo kuona usiku. Na ndio maana wanaanga wanauchunguza mwezi wake unaoitwa Europa ambao unaonekana kusapoti mazingira ya binadamu kuishi kwani umegundulika kuwa na maji mengi na baadhi ya viumbe wa kwenye maji wamegundulika.
We ndo umekuja kutuchanganya kabisa wai!Wakuu naona mnachanganya ma-file mkirejea hiyo fact no. 9
Ni kwamba:-
1: Siku (day) hupatikana kwa sayari kujizungusha yenyewe kwenye mhimili wake yaani rotation, kwenye solar system ni Dunia "Earth" tu yenye uwezo wa ku-rotate na Dunia uchukua saa 24 kumaliza one rotation na matokeo yake ni kupata "usiku na mchana"
2: Tendo la sayari kuzunguka Jua linaitwa revolution na matokeo yake ni kupata misimu ya mwaka kama autumn,summer nk.
NB: kwahiyo wakuu ni makosa kusema Jupiter siku yake ukamilika baada ya saa 9 kwa sababu hai-rotate.
-hii ni kwa mujibu wa astronomy ya Copernicus "Greece scientist"
Teh!Eeeeh!Miezi 12!!!!! January to December
Nimezisoma hizo facts mkuu na inaonyesha kuwa hata Jupiter ina-rotate lakini bado ina maswali mengi kama ifuatavyo:-
1: jupiter is soo massive 'it is heavy' kiasi kwamba Dunia 318 ziwekwe pamoja kufit uzito wake.
Swali,je kwa uzito huo inaweza kuzunguka kwa speed hiyo?
Hapo ni Tembo vs Swala
2: source ya hizi facts siihamini sana.
Hapa umenichanganya yule mleta mada amesema inachukua masaa tisa kukamilika siku?!
Hapo hapo navoelewa mimi kujizungusha kwenye mhimili ndo kunaleta usiku na mchana huko kwenye kuzunguka jua kunaleta majira ya mwaka kwa maana hiyo ndani ya masaa manne na nusu tayari usiku na ndani ya masaa manne na nusu unaingia mchana au?Mkuu kwa kumsaidia, hizo siku 9.9 ni kutokana na rotation yake kujizungusha kwenye muhimili wake (Sawa na dunia masaa 24 kujizungusha kwenye muhimili wake). Na hiyo miaka 60+ ya giza na ya mwanga ni kutokana na revolution yake kulizunguka jua(Sawa na dunia Mwaka 1 kulizunguka jua).
JF is the best place
Kweli mkuu nikitaka kumrekebisha hapo piaaaaa.No 9 ina ukakasi hasa ukizingatia iko mbali zaidi na jua, ni kubwa kuliko dunia.nilitegemea iwe kinyume.
Dunia huwa inarotate kwenye mhimili wake ndipo tunapata huu usiku na mchanaNaomba kuuliza je sayari ya dunia mfano huwa inaspin au rotate hapo ktk solar system?yaani inajizunguka yenyewe sio kwamba inazunguka jua?kingine je dunia ktk makarne yote iko hapo hapo haisogei kama kushuka chini au kupanda juu?yaana iko hapo hapo inazunguka tu?
Dunia ina miezi 12..... wa kwanza hadi wa 12!!Kumbe kila sayari ina mwezi wake? Hivi dunia ina miezi mingapi?