Ifahamu Ngorongoro

Angepewe mzungu mkristo mwenzenu hapo sawa hakuna shida? Hetiii!!
 
Hahahaha.. Wamekuwa dawati la ustawi wa jamii
Ustawi wa jamii walioutelekeza miaka nenda Rudi. Hata bajeti hakuna . Raisi anaishia kuasili watoto.
Tusemaje kuhusu wale watoto wa mitaani kule kariakoo na kwenye majiji yote makubwa nchini.
Tuseme wamejizaa wenyewe ama vipi
Serikali yote kwa ujumla mpaka huyo muua watu hapo ikulu wanawasaidiaje watoto wa mitaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…