Ifahamu Familia ya Said Salim Bakhresa

Said Salim Bahresa sio tajiri kivile, mali zake nyingi za kuwezeshwa, lakini wenye hizo mali ni wengine. (YAANI hidden hand au web master au web spider) bahresa anatumika kama Vehicle tu, au tunaita the Gofer.
Huyu ni elite kama alivyo Bill gates na wakina Jeff Bezos au Mark Zuckerberg au Jack Ma..mali zao ni kama wamepewa wasimamie tu mali sio zao, ni ngumu sana eti kuuza kahawa ndani ya miaka 30 uwe tajiri namba hiyo, tena kwenye uchumi mdogo wa Zanzibar na Dsm.
Hawa ni waabudu shetani angalia logo za kampuni yao utaelewa. Ndo maana product zao za vyakula zina viambata visivyo sahihi kama Fortification nk kwenye maji na juice na ngano watu wanaumwa kwa kula vyakula vyao. Sio Azam tu hata Mo ni satanist.
 
Kumekucha
 
kumekucha kumekucha
 
nataka nimjue mkurugenzi wa UKWAJU kwanini anatutesa kwa kuweka kipenyo kikubwa namna hiyo cha mdomo
 
It's all about hard work maskini wengi wanachukia matajiri that is poor mindset
 
Maryam ni classmate wangu alikua analindwa sana tukitoka tu shule gar inamsubir badae alihamishwa shule sijui alipelekwa wap
 
Kudos Bakhresa, hao vijana wameenda shule nzuri, nadhani wana-deserve hizo positions.
 
Hahaha

Bakhresa sio tajir kivile ila we utakuwa maskin kivile
 
Uzi umevamiwa tayar
 
Ni kweli tupu, ingawa watu hawapendi kuambiwa ukweli!
Hayo majitu yamerudisha nyuma maendeleo ya watu mamilioni.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…