Inakuwaje hadi vinafukarisha hivyo 'vitu'?Apana mkuu ngono/ zinaaa ni ufukara!!!
Ukitaka kuwa na mafanikio huja chelewa achana navyo!!
United Petroleum! Lazima itakuwa na uhusiano na Manchester UnitedUnited Petroleum ( UP )
Zilizopo tandale au?Inasemekana Diamond platinumz anataka kununua kampuni zote za Bakhresa.
Bahati yake hakukutana na upinzani wa Mariam BirianiEnzi zake bakhress akiuza Biriani/pilau.View attachment 1490667
Unaweza kuta mzee hakufanya jitihada zozote kuweka succession kwenye hio hospital .Maskini ya Mungu pale ilikuwa ni tegemeo la watz wengi kuhusiana na matibabu ya mifupa. Watu weusi ni balaa wala hatuna mipango ya muda mrefu
Mfumo jike wa kikristo ndio unawaruhusu kuendeleza mchezo wa mapadriMfumo Dume wa Kiislam umembana
MaybeUnited Petroleum! Lazima itakuwa na uhusiano na Manchester United
Ah wapi!!,Hapo ni sawa na TZ kuinunua South Africa.Inasemekana Diamond platinumz anataka kununua kampuni zote za Bakhresa.
napenda sana vyakula vya asili lakn mjini havipatkani.....yaan hata vijjin kwnyw skunhz wanatumia mbolea za viwandani na madawa kila kona. yan sku hz n rahs kupata kadi ya ccm kuliko kupata chakula cha asili.Visukari na mapresha..ni ulajo mbaya hayo mabia..kahawa..chai..nyama..processd food..majibu yake ni uzeeni mtaanza kuhangaika na makansa..visukari..na mapresha...jitajidino kula vyakula vya kiasili zaidi.
#MaendeleoHayanaChama.
zoote mpaka zile zilizopo Oman&DubaiZilizopo tandale au?
unahis haiwezekan??Ah wapi!!,Hapo ni sawa na TZ kuinunua South Africa.
Hakuna kinacho shindikana chini ya Juaunahis haiwezekan??
kama hamonize alikuwa machinga muuza maji barabaran lakn leo hii anatembelea landvruiser V8, na bado mwakan anaingia mjengoni dodoma unahs nn kinashindikana hapa chn ya jua?
Mmhh!!!,sijui.unahis haiwezekan??
kama hamonize alikuwa machinga muuza maji barabaran lakn leo hii anatembelea landvruiser V8, na bado mwakan anaingia mjengoni dodoma unahs nn kinashindikana hapa chn ya jua?
utajua tu subiri mwakan utapomuona kwny kideo Mr.Rajab Nasib a.k.a hamonize akiingia bungen akat we mwezangu na digrii yako unapuyanga tu mtaaniMmhh!!!,sijui.
sunah iyoMarinda ndo basi tena hapo.
Ngozi nyeusi ilishalaaniwa. Tunaamini n vzuri kuwahusisha watoto kwenye miradi ili badae waje waiendeleze lkn tofauti ya hawa wahindi na waarabu we jaribu kumuweka mwanao wa kike wa miaka km 18 hv kwenye duka lako utawaona hata wanaume ambao hujawahi kiwaona kwenye mtaa wenu. Ngono tatzoasilimia kubwa ya wazazi black wanataka kujinufaisha wenyewe
asilimia kubwa ya watoto black wanapenda kuhonga na kufuja mali
Kazi nzuri ni ipi?Alafu unamkuta kijana kamaliza chuo na kapata kazi mzuri alafu anazaa watoto wawili tu.yan ni uboya tu.
Maryam Said Salim Bakhresa, naye anasimamia biashara ipi?