Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
- Thread starter
-
- #21
That is Correct.What do yo you mean by mapenzi ya kwenye TV?!
I have read you, na sijapinga hoja yako. Ni Kweli unayosema lakini at the same time not everyone have the same mindset you're talking about here.
Ni kama vile kusema wanawake wote love the pink colour just because it's predominantly a colour for women, it's true a lot of women love pink but, may be there're some women who don't make it a big deal.
That is Correct.
Hao unaowaongelea wewe wanahesabika.
Mapenzi ya kwenye TV i meant like wale wanaopendana unconditionally tunaowaona kwa TV regardless of financial status et al. Tehe
Would u do the same for an average man ?? (Do u practice what u preach ??)
Mbona nimesema kabisa kuwa si-underestimate umuhimu wa pesa kwenye mahusiano, na ku-date mtu kisa maskini sijui kama ni sifa. I know kwamba pesa ina role kubwa but sio kwamba mahusiano yote yataevolve around hela. Na sio kwamba ukiwa na hela ndo utampata kila mwanamke unayemtaka. Unfortunately sio wanawake wote ni items, kwamba ukiwa na cents kadhaa tu unamnunua, Hell No. Afu Mbona watu kibao wana hela na wanazinguliwa na mapenzi daily!!!!!. Anyway ni mentality nzuri kudhani kuwa ukiwa tu na hela utaafford mwanamke yeyote as inawafanya mu-hustle zaidi. We appreciate your hustles Coz mwisho wa siku mtu ame-add value kwenye maisha yakeOther things remaining constant.
I was talking on average grounds fam that bila mbongo not only women but a chance to enjoy wit ur love itakua ndogo sanaa na utapitwa na mengi sanaa.
90% of men wanapendwa na wanawake wasiowataka wao na unayemtaka humpati kama vigezo huna na hata ukimpata ni ngumu sana kum keep kama huna hela.
If u dnt mind unaweza share PM hvyo vigezo vyako. Perhaps i might learn something new kwa kweli.I would, kama ana vigezo. It's not something new to me. Been there, done that.
Aww thanks dollHaha!, gaaal!, you just put a huge smile on ma face. This's some heavy matirio
You just told a negro straight up!...
Aaah unadhani nikipewa hela ntanuna? Nachekeleaje sasa, Ila siwezi pia kumlamba mtu ili anipe hela zake kama hajisikii. But luckily, my financial life doesn't depend on any man (except my pops lol),.....I'm not kept, I do the keepingSasa muulize ye hapendi kupewa hela na mpenzi wake ?? Tehe
Hahaha I'm past that level darlinThe way you put it, Hela is not that big of an issue to everybody.
She's probably past this level of women you're talkin' about here.
You guys are not fair sometimes when you sum us up. I don't mean any harm but try and figure this out.
If u dnt mind unaweza share PM hvyo vigezo vyako. Perhaps i might learn something new kwa kweli.
Aww thanks doll
Aaah unadhani nikipewa hela ntanuna? Nachekeleaje sasa, Ila siwezi pia kumlamba mtu ili anipe hela zake kama hajisikii. But luckily, my financial life doesn't depend on any man (except my pops lol),.....I'm not kept, I do the keeping
First of all I aint desperate for love or sex.On a serious note tho, I respect you hustling for the ladies instead of relaxing and wait for them to bust their behinds for you. Too sad we have those kind of men these dayz.
That is Correct.Mbona nimesema kabisa kuwa si-underestimate umuhimu wa pesa kwenye mahusiano, na ku-date mtu kisa maskini sijui kama ni sifa. I know kwamba pesa ina role kubwa but sio kwamba mahusiano yote yataevolve around hela. Na sio kwamba ukiwa na hela ndo utampata kila mwanamke unayemtaka. Unfortunately sio wanawake wote ni items, kwamba ukiwa na cents kadhaa tu unamnunua, Hell No. Afu Mbona watu kibao wana hela na wanazinguliwa na mapenzi daily!!!!!. Anyway ni mentality nzuri kudhani kuwa ukiwa tu na hela utaafford mwanamke yeyote as inawafanya mu-hustle zaidi. We appreciate your hustles Coz mwisho wa siku mtu ame-add value kwenye maisha yake
Itabidi uni keep aisee. DaaaahAww thanks doll
Aaah unadhani nikipewa hela ntanuna? Nachekeleaje sasa, Ila siwezi pia kumlamba mtu ili anipe hela zake kama hajisikii. But luckily, my financial life doesn't depend on any man (except my pops lol),.....I'm not kept, I do the keeping
It happens a lot. Kuna muda unakutana na mtu ana hela tu ya kawaida + vigezo anavyo, but unaona kabisa mmh huu ni mgodi unatema anytime. Mtu ana promising future ileee, unamuachaje kwa mfanoI would, kama ana vigezo. It's not something new to me. Been there, done that.
Na hapo ndo wanaume wengi wanapofail. Anakuwa Na mwanamke, anamtreat anyhow coz anajua utamganda tu kisa vijicent vyake au ukiondoka he can simply replace with you with another girl of his choice. Aisee, hela nimenyimwa ila no man can ever treat me as one of his items chaaaaaHapo kwa red chacha!, damn gurrl!, sikuwezi walah!
Lakini tuseme ukweli kumbembeleza mtu na kitu chake, hela for this case, takes a lot. And this's when they can advantage of us kama hivi sasa Senior Boss anakwambia all a brother need is money to woo us. Yaani tumekuwa kama bidhaa wanajichagulia kiwango watakavyo, according to what they can afford.
Haha I just keep myself bana, nina hela sasa za kukukeep?Itabidi uni keep aisee. Daaaah
I thot like u meant ur well off. LmaoHaha I just keep myself bana, nina hela sasa za kukukeep?
Itabidi uni keep aisee. Daaaah
Haha I just keep myself bana, nina hela sasa za kukukeep?
Nah man. If you can't afford her, you just pray and hope she gets fatherless kids, so you can join forces with fellow fcuk-boys and talk ill about them kinds.
For serious tho, you never pass on an opportunity to flex, man. Good for you.
Paulo Sergio De Souz na Benny bado wanambwela?!!! I'm coming to get you! Yes I'm serious.....Oooh one must upgrade himself, for oneself and not for others. Should a man add value to his life simply because he wants to woo women? I can't underestimate the power of money in any relationship, but along with the cash, you can't have every woman you want all the time.
Hahaha kwani anaye-afford one meal kwa kuuza maji maybe si anajikeep mwenyewe au? What I meant is "I live within my means", so kuwe na mbabes kusiwepo na mbabes, me maisha yangu yanaendelea tu AlhamdulillahI thot like u meant ur well off. Lmao
Nd i thot i wudn't incur much to have ur love.
Duh sikukosea kukutumia kama 'benchmark' kwenye ile thread! You are smart,exposed and......wow!The way you put it, Hela is not that big of an issue to everybody.
She's probably past this level of women you're talkin' about here.
You guys are not fair sometimes when you sum us up. I don't mean any harm but try and figure this out.