IDF usiku huu yaanza kuwatandika Mboko wa-Houth wa huko Yemen!!!

IDF usiku huu yaanza kuwatandika Mboko wa-Houth wa huko Yemen!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
BREAKING: Jeshi la anga la Israel limeanzisha operesheni ya "Bendera Nyeusi" nchini Yemen baada ya mashambulizi ya makombora ya mfululizo kwenye miji yake.

Zaidi ya mabomu 50 yaliangushwa—baada tu ya onyo kuwataka raia kuhama kwenye maeneo waliyoambiwa wayahame!!

Israel kwa sasa inalenga shabaha nchini Yemen, Waziri wa Ulinzi Israel Katz anathibitisha, muda mfupi baada ya IDF kutoa maagizo ya kuhama kwa baadhi ya maeneo.

"IDF kwa sasa inalenga shabaha kali za serikali ya kigaidi ya Houthi katika bandari za Hodeidah, Ras Isa, na Salif," Katz anasema katika taarifa yake, akiongeza kuwa shabaha hizo pia ni pamoja na kituo cha nguvu na meli ya "Galaxy Leader" ambayo Wahouthi waliteka nyara na kuteka miaka miwili iliyopita katika Bahari Nyekundu.

"Kama nilivyoonya, Yemen itatendewa kama Tehran," anaongeza, akirudia kitisho alichotoa wiki iliyopita. "Yeyote anayejaribu kuwadhuru Israeli atadhurika, yeyote atakayeinua mikono dhidi ya Israeli mikono yake itakatwa!!. Wahouthi wataendelea kulipa gharama kubwa kwa matendo yao."
 

Attachments

  • yemen.mp4
    86.2 KB
Msemaji wa IDF:

IDF ilishambulia malengo ya kigaidi ya utawala wa kigaidi wa Houthi katika bandari za Hudaydah, Ras Issa, As-Salif, na kituo cha nguvu cha Ras Kantib.

Ndege za kivita za Jeshi la Wanahewa la Israel, zikiongozwa na kijasusi kutoka Kurugenzi ya Ujasusi ya IDF na Jeshi la Wanamaji, zililenga na kuharibu miundombinu ya ugaidi ya utawala wa kigaidi wa Houthi. Miongoni mwa shabaha hizo ni bandari za Hudaydah, Ras Issa na As-Salif.

Bandari hizi zinatumiwa na utawala wa kigaidi wa Houthi kuhamisha silaha kutoka kwa utawala wa Iran, ambazo hutumika kutekeleza mipango ya kigaidi dhidi ya Taifa la Israel na washirika wake.

Shambulio hilo lilifanywa kujibu mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala wa kigaidi wa Houthi dhidi ya Israel, raia wake, na miundombinu ya kiraia, ikiwa ni pamoja na kurusha UAV na makombora ya ardhini kuelekea ardhi ya Israel.

Utawala wa kigaidi wa Houthi unatumia kikoa cha baharini kulazimisha na kutekeleza shughuli za kigaidi dhidi ya meli zinazopita na njia za biashara katika maji ya kimataifa.

Malengo yaliyofikiwa yanaonyesha matumizi ya kijeshi ya utawala wa Houthi wa miundombinu ya kiraia kwa madhumuni ya kigaidi.

Miongoni mwa shabaha za ugaidi zilizopigwa katika bandari ya Ras Issa ni meli ya kibiashara ya Galaxy Leader, ambayo Wahouthi waliiteka nyara mnamo Novemba 2023.

Vikosi vya Houthi viliweka mfumo wa rada kwenye meli na wamekuwa wakiutumia kufuatilia trafiki ya baharini katika maji ya kimataifa, na kuendeleza uwezo wa uendeshaji wa serikali.

Kwa kuongezea, kituo cha umeme huko Ras Kantib pia kililengwa. Ilitumika kama miundombinu kuu ya umeme inayosaidia shughuli za kijeshi za Houthi, ikionyesha zaidi matumizi ya serikali ya vifaa vya kiraia kwa ugaidi.

Utawala wa kigaidi wa Houthi hufanya kama wakala mkuu wa serikali ya Irani na hupokea ufadhili na silaha kwa operesheni zake. Ni mshirika hai katika shughuli za kigaidi za kimataifa za Iran.

IDF imedhamiria kuendelea kuchukua hatua kwa nguvu dhidi ya tishio lolote kwa raia wa Israeli-katika umbali wowote unaohitajika.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2025-07-07 at 00.41.35.mp4
    2.1 MB
Meli ya wayahudi imezamishwa,acha akapige mafataki na kubomoa viwanda vya saruji na matanki ya mafuta, hakuna meli ya israel itapita hapo
Afu wanarudia target zile zile wanaona raha kuona oili ikiwakaa hahaha, wakati Yemen anapiga target mpya kila akipiga Israel. Unambiwa ndege zao hazijaondoka anga la Yemen vitu vimeshuka Tela Aviv. Yemen ni kiboko hio bendera nyeusi wakaipandishe kwingine sio Yemen.
 
Hiyo bandari ya Hodeidah mbona kila siku inapigwa tu.

ndani ya viunga vya Tehrani.
 
BREAKING: Jeshi la anga la Israel limeanzisha operesheni ya "Bendera Nyeusi" nchini Yemen baada ya mashambulizi ya makombora ya mfululizo kwenye miji yake.

Zaidi ya mabomu 50 yaliangushwa—baada tu ya onyo kuwataka raia kuhama kwenye maeneo waliyoambiwa wayahame!!

Israel kwa sasa inalenga shabaha nchini Yemen, Waziri wa Ulinzi Israel Katz anathibitisha, muda mfupi baada ya IDF kutoa maagizo ya kuhama kwa baadhi ya maeneo.

"IDF kwa sasa inalenga shabaha kali za serikali ya kigaidi ya Houthi katika bandari za Hodeidah, Ras Isa, na Salif," Katz anasema katika taarifa yake, akiongeza kuwa shabaha hizo pia ni pamoja na kituo cha nguvu na meli ya "Galaxy Leader" ambayo Wahouthi waliteka nyara na kuteka miaka miwili iliyopita katika Bahari Nyekundu.

"Kama nilivyoonya, Yemen itatendewa kama Tehran," anaongeza, akirudia kitisho alichotoa wiki iliyopita. "Yeyote anayejaribu kuwadhuru Israeli atadhurika, yeyote atakayeinua mikono dhidi ya Israeli mikono yake itakatwa!!. Wahouthi wataendelea kulipa gharama kubwa kwa matendo yao."
Waisrael wapumbavu sana kiakili Dunia yote hiii wakachagua kuishi kwenye kitomvu cha Dini na manabiii wote wameshushwa pale !!!!

wangejiuliza kwanza kwann Mungu ilibidi kuwapelekea Wajumbe wake kukinyoosha icho kizazi cha Mashariki ya kati !!!

Afu walivo Wapumbavu zaid waliamini Wata watawala Kibabe kizazi kile Chenyewe kina Istoria kubwa ya mapigano Mapambano Ipo siku wataungama kuwa Wamekosea kuamia eneo ilo !!

mm nasema naww sema wacha MUNGU aitwe MUNGU ukweli unajidhiiilisha wenyewe !!

watu wa eneo ilo kufa kwao sio habari kubwa Leo Vita na Maboom miaka 3 wananchi hawana chochote na awakimbii nchi yao

njaaa tupu akuna umeme maji maboom ndio chai yao kukosa hospital Internet pakulala NK

lkn ndio kwanza wanakwambia tupo tayali kufa kwenye Ardhi yetu tukufu.. na tuzikwe apa !!!

sasa njoo kwa taifa FAKE la mchongo Vita chungu kwao ni siku 12 tu lkn wanatoka mbio na kuikimbia nchi
wanayodai niyao waliibiwa uko miaka ya nyuma !!!!

sasa mbona mnakimbia nchi yenu si mwendelee kufa apo na mzikwe apo !!

wanadai mateso makubwa wanakimbia mateso milio tu ya kombora wamebeba mabegi yao kichwani nakuondoka uku wakiimba kwann ufie ugenini na kwenu kupo Haaaaa Patamuuu apo!!!

Wazungu wanarudi nyumbani kwao ULAYA taifa teule litabaki mdomoni kwa Wachungaji na maduka yao ya kukusanya Pesa za Mazwazwa kwamtindo wa Sadaka..
 
Meli ya wayahudi imezamishwa,acha akapige mafataki na kubomoa viwanda vya saruji na matanki ya mafuta, hakuna meli ya israel itapita hapo
Iran kakichafua taifa la mchongo linapumulia mashine!!!

mwambaaaa Iran yupo pale akuna cha nyato wala NATO wala MAREKANI

Iran kawaamulia kabisa Awa MASHOGA waondoke kabisa mashariki ya kati ndio mana ataki mazungumzo na yoyote asa Marekani

Iran hataki Rushwa za wazayuni pesa zenye Damu na mateso ya ulimwengu inafaam fika itapewa pesa ipunguze MOTO lkn wapi Iran acheki na kima + Sodoma
 
Washia wanasemekana sio Waislam
Ndiomana nawambiaga Wairan ndio Wayahudi OG

lkn wachungaji wanalengo la kupiga pesa za wajinga ndio mana !!

wana wababatiza awa mashoga eti ndio Taifa teule Mashoga watoke Ulaya na Ushoga wao leo wawe ndio Taifa teule watakatifu

kwaiyo Shoga akifika tu apo Palestina moja kwa moja anakuwa mtakatifu

Dini ipo ivyo kweli mm siamin Utakatifu wa kuama eneo tu.
 
Sasa hivi Israel ina jeuri ya kupiga popote walipo makobaz, hii ni baada ya kuikalisha Iran ambayo ndio kubwa la waislamu.


Yes, yaani Israel sasa hivi anapiga hao Iran proxies atakavyo na kuwamaliza kabisa sbb anaye wa sponsor kakatwa mapvmbv yote hawezi didisha kabisa..!! Myahudi hatari sana
 
Waisrael wapumbavu sana kiakili Dunia yote hiii wakachagua kuishi kwenye kitomvu cha Dini na manabiii wote wameshushwa pale !!!!

wangejiuliza kwanza kwann Mungu ilibidi kuwapelekea Wajumbe wake kukinyoosha icho kizazi cha Mashariki ya kati !!!

Afu walivo Wapumbavu zaid waliamini Wata watawala Kibabe kizazi kile Chenyewe kina Istoria kubwa ya mapigano Mapambano Ipo siku wataungama kuwa Wamekosea kuamia eneo ilo !!

mm nasema naww sema wacha MUNGU aitwe MUNGU ukweli unajidhiiilisha wenyewe !!

watu wa eneo ilo kufa kwao sio habari kubwa Leo Vita na Maboom miaka 3 wananchi hawana chochote na awakimbii nchi yao

njaaa tupu akuna umeme maji maboom ndio chai yao kukosa hospital Internet pakulala NK

lkn ndio kwanza wanakwambia tupo tayali kufa kwenye Ardhi yetu tukufu.. na tuzikwe apa !!!

sasa njoo kwa taifa FAKE la mchongo Vita chungu kwao ni siku 12 tu lkn wanatoka mbio na kuikimbia nchi
wanayodai niyao waliibiwa uko miaka ya nyuma !!!!

sasa mbona mnakimbia nchi yenu si mwendelee kufa apo na mzikwe apo !!

wanadai mateso makubwa wanakimbia mateso milio tu ya kombora wamebeba mabegi yao kichwani nakuondoka uku wakiimba kwann ufie ugenini na kwenu kupo Haaaaa Patamuuu apo!!!

Wazungu wanarudi nyumbani kwao ULAYA taifa teule litabaki mdomoni kwa Wachungaji na maduka yao ya kukusanya Pesa za Mazwazwa kwamtindo wa Sadaka..
Endelea kulialia tu Israel is there to stay!!!! Utalalamika mpaka utachoka tu hatoki mtu hapo!!!

Endelea tu kujidanganya kuwa kuna watu walitoka Israel nikukumbushe tu kipindi Iran anapokea kichapo kutoka majeshi ya Israel viwanja vya ndege vilifungwa nchini Israel kupisha kichapo hicho wananchi wengi wa Israel waliokuwa nje ya nchi yao walikuwa wamekwama huko Ughaibuni juhudi zilifanywa kuwarudisha nyumbani wengi walirudi kupitia njia ya maji na baada ya Iran kusalimu Amri na kukubali kusitisha mapigano viwanja vya ndege vilifunguliwa na maelfu ya raia wa Israel walirejea nyumbani!!!

Kitendo hicho kwa Wafuga Midevu na Majini mkaanza kusema uongo kuwa Wayahudi wanakimbia nchi wakati walikuwa wanarudi nyumbani kwao.


View: https://x.com/jewishwarrior13/status/1854897716070900085?s=61

View: https://x.com/ellatravelslove/status/1935245049337417966?s=61

View: https://x.com/israelwarroom/status/1935205209753420154?s=61

View: https://x.com/adi13/status/1935222688718413864?s=61

View: https://x.com/leekern13/status/1934636316102197587?s=61
 
Endelea kulialia tu Israel is there to stay!!!! Utalalamika mpaka utachoka tu hatoki mtu hapo!!!

Endelea tu kujidanganya kuwa kuna watu walitoka Israel nikukumbushe tu kipindi Iran anapokea kichapo kutoka majeshi ya Israel viwanja vya ndege vilifungwa nchini Israel kupisha kichapo hicho wananchi wengi wa Israel waliokuwa nje ya nchi yao walikuwa wamekwama huko Ughaibuni juhudi zilifanywa kuwarudisha nyumbani wengi walirudi kupitia njia ya maji na baada ya Iran kusalimu Amri na kukubali kusitisha mapigano viwanja vya ndege vilifunguliwa na maelfu ya raia wa Israel walirejea nyumbani!!!

Kitendo hicho kwa Wafuga Midevu na Majini mkaanza kusema uongo kuwa Wayahudi wanakimbia nchi wakati walikuwa wanarudi nyumbani kwao.


View: https://x.com/jewishwarrior13/status/1854897716070900085?s=61

View: https://x.com/ellatravelslove/status/1935245049337417966?s=61

View: https://x.com/israelwarroom/status/1935205209753420154?s=61

View: https://x.com/adi13/status/1935222688718413864?s=61

View: https://x.com/leekern13/status/1934636316102197587?s=61

Pumbavu zenu msirudie Tena kumchokoza muajemi Hilo mlitumie Kama somo in future, mkishupaza shingo mtakua hamrudi tena
 
Back
Top Bottom