Identity zimeokotwa za polisi

Identity zimeokotwa za polisi

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
Kuna askari somebody mahimbo kadi zake zimeokotwa.. Anatemjua ani pm
 
Sijui zilipotea mazingira gani ... Na hawa jamaa hawaeleweki hawachelewi kukubambikia kesi
 
Kuna askari somebody mahimbo kadi zake zimeokotwa.. Anatemjua ani pm

duh,kuwa makini ndg hakuna watu hawaaminiki kama polisi afadhali uokote identity ya m23 wanaweza kukuhurumia
 
duh,kuwa makini ndg hakuna watu hawaaminiki kama polisi afadhali uokote identity ya m23 wanaweza kukuhurumia

Basi nazipotezea tu manake hawa wanaweza kukupa shida anytime unaweza kukuta walimuibia then zikatupwa
 
huo ni mtego. leo watakuja kukukagua kwako kwa kosa la kuiba na kumpiga polisi hadi ukakimbia na nguo zake. mia
 
Mimi ni askari so kuwa na amani zipeleke sehemu usika na zitapokelewa bila shida
 
huo ni mtego. leo watakuja kukukagua kwako kwa kosa la kuiba na kumpiga polisi hadi ukakimbia na nguo zake. mia

Hili nalo neno kama vipi aziteketeze kabisa wasije mwambie alishiriki kumtorosha yule askari aliesafirisha magunia 18 ya Bangi..
 
Du, ama kweli polisi wamechokwa!! Ukiongeza na uporaji waliofanya Mtwara, napata mpasuko wa roho!
 
Ngoja nitazipiga picha niziweke hapa
 
Mimi ni askari so kuwa na amani zipeleke sehemu usika na zitapokelewa bila shida

Sehem husika ni wapi,? Kituo cha polisi... Hizi ni kadi ya nmb.. Ya upolisi na ya nssf kitu kama hicho ..
 
Mimi ni askari so kuwa na amani zipeleke sehemu usika na zitapokelewa bila shida

bila hta chembe ya shaka wewe kweli ni askari wa tz kwan hta uandishi wako unasadifu na kudhibitisha hilo!
 
Nipe mimi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom