Idara ya uhamiaji ipoje?

Kuna kipindi walikuwa wanapiga 3months kwa sasa sina hakika kama ni miezi 3 hiyohyo au wameongeza.
 
ushakuwa na uhakika nini mwanangu, anyway kozi ni miezi 6, n mshahara usiexpect sana na huwezi pata clear figure, jua mshahara unatofautiana kwa cheo na elimu.. chukuwa hiyo
 
ushakuwa na uhakika nini mwanangu, anyway kozi ni miezi 6, n mshahara usiexpect sana na huwezi pata clear figure, jua mshahara unatofautiana kwa cheo na elimu.. chukuwa hiyo
Na maafisa wao pia hupiga kozi nyingine baada ya hiyo ya miezi Sita sio!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…