Mkuu wapigaji wa ruzuku tu.kila kiongozi yupo bize kutunga operation.juzi imeanza operesheni matiti,,subiri baada ya pasaka utawasikia Bavicha na operesheni ingia ikulu 2015.hakuna tathmini wala research,ni kula hela kwenda mbeleKila siku operesheni mpya...muwe mnatupa mtokeo yake pia isije kuwa mnapoteza muda tu