baharia Ar
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 837
- 316
Leo zaidi ya wiki jiji la Arusha hatuna maji sijui mnahisi tutaishije,nasikia ni mpaka mwezi wa kumi,mmetuona sie ni ngamia au? Na bili za maji zinasoma kama kawaida.
Acheni uzamani bwana muwe mnakua, au mpaka tubebe ndoo tuje hapo idarani?
Acheni uzamani bwana muwe mnakua, au mpaka tubebe ndoo tuje hapo idarani?