Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Habari wanabodi,
Kama mnavyoona kukuru kakara za usajir za mchezaj wa Yanga bwana Feisal Salum (Fei Toto) kwenda Azam zinavyowatesa wana Yanga na hii ilianzia toka kwa mtukutu Bernad Morrison kwenda Simba.
Inaonesha wazi idara ya sheria au kitengo cha sheria kinapwaya sana pale Jangwani, hawako makini juu ya mikataba ya wachezaji wao.
Mchezaj kama Fei Toto kuuzwa kwa mil 100 ni aibu sana, pesa hii ina thaman ya Kibu Denga pale Msimbaz au Sadala Lipangile na si Fei Toto.
Sjui wanawaza nn hawa wanasheria wa Yanga nadhani wapo pale kwa vimemo vya baba kanituma.
Hawa mabwana hawajawah kishinda hata kesi ya kuku lakn wapo pale Yanga wakilipwa mamilioni ya pesa.
Ni muda sasa wakukimulika hiki kitengo ili kilete tija.
Kama mnavyoona kukuru kakara za usajir za mchezaj wa Yanga bwana Feisal Salum (Fei Toto) kwenda Azam zinavyowatesa wana Yanga na hii ilianzia toka kwa mtukutu Bernad Morrison kwenda Simba.
Inaonesha wazi idara ya sheria au kitengo cha sheria kinapwaya sana pale Jangwani, hawako makini juu ya mikataba ya wachezaji wao.
Mchezaj kama Fei Toto kuuzwa kwa mil 100 ni aibu sana, pesa hii ina thaman ya Kibu Denga pale Msimbaz au Sadala Lipangile na si Fei Toto.
Sjui wanawaza nn hawa wanasheria wa Yanga nadhani wapo pale kwa vimemo vya baba kanituma.
Hawa mabwana hawajawah kishinda hata kesi ya kuku lakn wapo pale Yanga wakilipwa mamilioni ya pesa.
Ni muda sasa wakukimulika hiki kitengo ili kilete tija.