mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
Kama kawaida yao Wabunge ambao wameaga rasmi inaongezeka, hii inatoa na msukumo wa kuwania nafasi za juu.
Tunataka wengine waliozeeka, waliochokwa kujipima mapema waagwe kwa amani na cheleko, wasisubiri moto wa vijana wakaja kuumiza pension zao.
Hatutaki tena wabunge njaa kujaza ofisi wakiomba.ref. Makinda mpaka sasa walioaga kwa hiari ni Mwandosya, Zitto, Mahanga, Sitta huyo anapima upepo wa UKAWA
Tunataka wengine waliozeeka, waliochokwa kujipima mapema waagwe kwa amani na cheleko, wasisubiri moto wa vijana wakaja kuumiza pension zao.
Hatutaki tena wabunge njaa kujaza ofisi wakiomba.ref. Makinda mpaka sasa walioaga kwa hiari ni Mwandosya, Zitto, Mahanga, Sitta huyo anapima upepo wa UKAWA