Enrolment ya watoto tanzania darasa la kwaza kila mwaka ni 1.1m pupils na recommended ratio ya wizara mualimu kwa wanafuzi ni 1-30 kwa gawanya idadi ya wanafunzi kwa ratio ya darasa, ni waalimu laki 340,000 wanao hitajika kwa darasa la kwanza tu.........kwa ufupi ni kwamba elimu ya tzania ni usani na siasa ilaa sio kusaidia watzania.