Idadi ya binadamu waliokuwa mawaziri Tanzania 2005-2015

Gogle

JF-Expert Member
Feb 26, 2013
1,495
867
Habari wakuu,

Kuna research nafanya, kwa heshima kabisa naomba kujuzwa idadi ya binadamu waliowahi kuwa mawaziri na manaibu waziri katika uongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya nne iliyoanza oktoba 2005 hadi novemba 2015, ili niweze kujazia katika research yangu.
Au kama kuna link itakayonipa taarifa hizo naomba Iwekwe hapa.

Asanteni sana.
 
Habari wakuu,

Kuna research nafanya, kwa heshima kabisa naomba kujuzwa idadi ya binadamu waliowahi kuwa mawaziri na manaibu wa waziri katika uongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya nne iliyoanza oktoba 2005 hadi novemba 2015, ili niweze kujazia katika research yangu.
Au kama kuna link itakayonipa taarifa hizo naomba Iwekwe hapa.

Asanteni sana.

Google
 
Back
Top Bottom