ICC yagoma kumwachia Duterte

Alikabiriana na dawa za kulevya kweli au alitaka kuondoa upinzani sokoni ili auze peke yake na genge lake?
😁😁😁 Hii ilikuwa mbinu ya makondakta na Mwendazake
 
Duterte alikuwa mbabe kama simba.

Natamani kumuona alivyochoka kama mbwa koko.

SUKUMA NDANI.
Wanamuonea tu.Kuna tofauti gani kati yake na Trump anavyowaua wauzaji na wasafirishaji wa drugs wa Venezuela.Anawaua mara kwa mara kwa kuwalipua na maboti yao.
ICC imewekwa kwa maslahi ya mabeberu.Hakuna kiongozi wa Nchi kubwa atapelekwa kwenye hiyo korti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…