Siku za karibuni alikua anaonekana kama hana amani pale kwenye kipindi cha michezo hata ikifika nafasi ya kuchangia lile jitu jeusi lwambano lilikua kama linampotezea flani tofauti na zamu ya dauda. Niliona kbs huyu jamaa anaweza kufanya maamuzi magumu! Matokeo yake ndio hayo sasa kipindi cha michezo pale clouds kimebaki na majitu meusi matupu!..