kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
BREAKING: Roselyn Akombe resigns as IEBC commissioner; says election as planned "cannot meet basic expectations of a credible election".
source NTV Kenya
source NTV Kenya
Huu anaishi Marekani wakati wote.Kenya anaenda tu kwa kazi za IEBC kisha anarudi Marekani.Amekimbilia Marekani kwa kuhofia maisha yake
hahahhaaa. mkuu umeona mbali.Huu anaishi Marekani wakati wote.Kenya anaenda tu kwa kazi za IEBC kisha anarudi Marekani.
Naona ametumia nafasi hii sasa kuiombea familia yake nzima ukimbizi Marekani, mambo ya kuchangamkia fursa hayo.
BREAKING: Roselyn Akombe resigns as IEBC commissioner; says election as planned "cannot meet basic expectations of a credible election".View attachment 611650
source NTV Kenya
Ndio maana hawataki hapa bongo kubadili katiba wanaona yale mamlaka ya kimungu walo nayo yataisha.NASA wapo juu ni kama misimamo ya Jubilee ina yeyuka kama barafu. Jana tu Makamu wa Rais Ruto alikubali kwamba hana shida na kufanyia mageuzi tume ya Uchaguzi ya nchini kenya. Na hili ni pigo kubwa sana kwa watawala.