Iam positive

Usimdhihaki aliyeathirika maana kutoathirika si ujanja bali wote bado tunavuka mto. Kama hujaathirika leo waweza kuathirika kesho.

Nataka kusema kitu hapa ila naogopa nitashabuliwa sana, mkuu au nikupm.
 
Mkuu utapata sawa sawa na haja ya moyo wako,
 
Pole sana pia hongera Kwa ujasiri i wish utafanikisha mipango yako kama unavyohitaji ,,goodluck
 
Nawashuru wote kwa kunifariji,Namuomba mungu aniongoze na ajibu maombi yangu . Asanteni sana na Mungu awabariki
 

Kumbe sio wote ni baadhi ya watu!!! Kushindwa kuelewana mbona huweza kutokea kwa namna mbalimbali!!!
 
Sasa hapo ujasiri gani? Ujasiri ni kujitoa picha na jina lako la ukweli

Atajibu ulomuuliza ni ujasiri gani, langu kwako ni kutaka kujua kama kuweka picha na kutumia jina halisi hapa JF huashiria ujasiri.
 
pole sana kama kweli maana JF ni pana muda mwingine spying inafanyika
 
Maisha ni lazima yaendelee. Kuwa positive hakubadili chochote ikiwa ni pamoja na kumpata mwenza utakayempenda. Hongera kwa kujikubali.
 
hongera kwa kuwa muwazi inasaidia kuishi miaka mingi la muhimu zingatia maelekezo ya daktari
 
Huhitaji kutafuta aliye positive mkuu. Tafiti zinaonyesha kwamba kwa waathirika wanaotumia kwa usahihi ARV hawawezi kuambukiza wengine. Kwa hiyo kama tayari umeanza kutumia ARV, na unaitumia kwa usahihi kabisa. Amini kwamba unaweza kuoa aliye negative, na hata mkaweza kuzaa pasipo kumwambukiza HIV.

Kikubwa zingatia kumuandaa vizuri mwenzako na usiende round nyingi sana zinazoweza kusababisha michubuko mikubwa.
Kwa tafiti za hivi karibuni, zinaonyesha waathirika wanaweza kuishi hata miaka hamsini iwapo watatumia dawa kiusahihi.

Tumaini lililo mbele yetu ni kuwa tafiti zinafanyika kuona namna ya kuachana na vidonge vya kumeza kila siku, na badala yake kuwa na sindano moja per year, or per six months.There is life after HIV infection, be courageous!
 

Nashukuru sana kwa elimu uliyonipa, Mungu Akubariki.
 
mie nakupa moyo
maisha lazima yaendelee
kuwa +
si kuumwa
kansa
kisukari ni hatari kuliko kuwa +
bado una nafasi ya kufanya mengi
''in this bad country''
 
Mkuu tafuta hata Negative haina shida ukifuata ushauri wa Dr. mambo yako vizuri tu. Siku hizi kuwa +ve haina taabu endelea pia kumwomba Mungu zaidi juu ya tatizo lako ukiamini litaondoka.
 
very
This is very promising advice mkuu
 
Hongera kwa hatua madhubuti uliyochukua....Mungu akujalie haja ya moyo wako
 
nitumie no yako nikuunganishe na mdada yupo siriaz. usiache kaka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…