I am sorry
Member
- Feb 7, 2015
- 16
- 8
mkuu hongera kwa ujasiri... nakutakia kila la heri[/QUOTE
Asante sana
hongera sana kwa kugundua kwamba life lazima iendelee na pia ukimwi kwa sasa sio kama zamani, bado kansa, diabetes na non communicable disease zinatisha zaidi
cha maana tu ni adherence ya nasaha za wataalam
Hongera mwanaharakati. big up
Aiseee pole na hongera
Bila shaka utampata umtafutaye...
Kutambua afya ni jambo muhimu sana...
aliye negative akikuridhia hutaki? hongera kwa kuwa positive na maisha ila ningekuwa positive na ninataka mume nisingeku-pm ng'o!! Historia ya MMU inaonyesha baadhi ya watu wanapiemiana, wakikutana nje ya pm wakashindwa kuelewana mambo yanakuja kuwekwa hadharani na mmoja wao. Ungeandaa mkataba wa usiri kabisaaa. Kwani huko clinics huwa hamkutani?
Pole kwa yaliyokukuta na Hongera kwa ujasiri
You think so? Hata ikinitokea muitikio wangu unaweza usiwe kama wako. Sijiskii pia kukuonea huruma maana huhitaji huruma - itakuharibu. Unahitaji kueleweka tu. Mi nilitaka tu uwe makini zaidi ila we umenichukulia kivingine. Nawajua watu walioamua kuwa pamoja: mmoja mwathrika, mwingine mzima na wana watoto na walijua hali zao kabla hawajaamua kuoana na yule mzima bado ni mzima. Kwamba wanafanyaje mi sijui ila ukitaka kujua utajua. Ishi maisha yako kama kawaida na wakati mwingine usubiri kupokea kile wakati unachokuletea. Ukigandisha macho yako kwa waathirika wenzio tuu utakosa fursa zingine za maana maana sasa unataka kufungua mlango wa kujitesa kwa upweke.