Ulitaka aoe akiwa na miaka kumi na ngapmmmmh!
30yrs ago, hauna mwanamke utakuwa unamatizo makubwa sana
Kila la kheri kakaIam Tanzania man aged 30 years, Iam Looking for woman who will marry me.
Ulitaka aoe akiwa na miaka kumi na ngap
mmmmh!
30yrs ago, hauna mwanamke utakuwa unamatizo makubwa sana
ulitaka akaoe akiwa bado ananuka maziwa mdomon? anyway nampa chance akifika 35 anitafte
UNATAKA uzae mtoto kichaa
Umri wa kuoa ni upi? Labda kijijini kwenu mna umri wa kuoa unaoeleweka ila mi nijuavyo ni pale mtu anafikia muda anaona sasa anahitaji mwenza wa maisha haijalishi ana 40's au 10'skwan umri wa kuoa haufahamiki?,kala bata na vi dada vya Mrina leo anakuja kutangaza ndoa hapa,hata dada angu simpi