Wew una masters?Tuseme tu ukweli bila kumung'unya Maneno. Hiki Chuo kinagawa MASTERS Degree bwerereeeeeee ni Ada yako tu. Ukiwa pale hakuna kufeli ni kujiandaa na Graduation tu. Vyuo vya aina hii ni Janga kwa Mustakabali wa Taifa letu. Na vile Wabongo ni dizain ya Kambale yaaani tunapenda Mtelezo aka Kitonga kwa sasa hiki chuo kina Nyomiiiiiiiiiiiii la Wanafunzi ili wapate vyeti vya Kitonga bila Usomi kichwani.
Kazi kwako kuchagua, TCU endeleeni kulala Ofisini.
STD VII Mkuuu.Wew una masters?
Tuseme tu ukweli bila kumung'unya Maneno. Hiki Chuo kinagawa MASTERS Degree bwerereeeeeee ni Ada yako tu. Ukiwa pale hakuna kufeli ni kujiandaa na Graduation tu. Vyuo vya aina hii ni Janga kwa Mustakabali wa Taifa letu. Na vile Wabongo ni dizain ya Kambale yaaani tunapenda Mtelezo aka Kitonga kwa sasa hiki chuo kina Nyomiiiiiiiiiiiii la Wanafunzi ili wapate vyeti vya Kitonga bila Usomi kichwani.
Kazi kwako kuchagua, TCU endeleeni kulala Ofisini.
MakumbushoKipo wapi kwa Dar es salaam ?