i5 Processor Ram 4GB lakini Disc haifiki 320 GB Inakuwaje?

i5 Processor Ram 4GB lakini Disc haifiki 320 GB Inakuwaje?

Isaac Mnyagi

Senior Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
124
Reaction score
136
Wakuu Laptop yangu ina nafasi ndogo sana hasa ukizingatia specs zake inatakiwa iwe na angalau disk ya 320

Aina ya Laptop ni HP Pavilion g6 series Notebook

Processor ni Intel (R) core (TM) i5 - 2430M CPU @ 2.4GHZ 2.4 GHz

Ram ni 4 GB

Operating system ni 64 Bit

Lakini iko slow na nina mashaka kuna nafasi iliyojifija ambayo sijaigundua kwa maana

Ukubwa kamili Nafasi iliyotumika nafasi iliyobaki

C ina 75.9 GB 67.3 GB 8.61 GB


E ina 19.3 GB 9.94 GB 9.43 GB


D ina 1.99 GB 10.3 MB 1.8 GB

Hii D imepewa jina la HP TOOLS ambapo kama ukijumlisha space zote ni kama GB 100 tu je wadau hili ni sawa?
Na kama siyo sawa naombeni maelekezo ili mnisaidie wajameni maana niliinunua hii laptop kwa mtu ambaye na yeye uelewa wake ni mdogo kwenye mambo haya. maana nahisi kama kuna nafasi aya hard disk ambayo sijaigundua na sijui imejificha sehemu gani.
 
Possibly io ndio size ya hiyo HDD yako, but ukitaka kuprove size yake do this;
1. Right click 'Computer' icon,
2. 'Manage'
3. Check on 'Disk Management'
4. Then upande wa kulia utaona total size & all partitions of your HDD.
5. Upande uo.uo kwa chini utaona partitions zote na details zake ie. Disk Healthy.

ALTERNATIVELY:

1. Tumia DVD/CD ya Windows (either XP, Vista or 7,8)
2. Fanya kama unataka kuinstall New Windows but ukifika ile sehem ya Kufanya partiton kabla hujaformat or kudelete any partition, embu chukua jumla ya All Partitions.
3. Ukishapata unaquit io Windows setup bila kubadili chochote kwenye OS yako.
Tchao!.
 
Possibly io ndio size ya hiyo HDD yako, but ukitaka kuprove size yake do this;
1. Right click 'Computer' icon,
2. 'Manage'
3. Check on 'Disk Management'
4. Then upande wa kulia utaona total size & all partitions of your HDD.
5. Upande uo.uo kwa chini utaona partitions zote na details zake ie. Disk Healthy.

ALTERNATIVELY:

1. Tumia DVD/CD ya Windows (either XP, Vista or 7,8)
2. Fanya kama unataka kuinstall New Windows but ukifika ile sehem ya Kufanya partiton kabla hujaformat or kudelete any partition, embu chukua jumla ya All Partitions.
3. Ukishapata unaquit io Windows setup bila kubadili chochote kwenye OS yako.
Tchao!.

Mkuu nashukuru sana maana mpaka sasa nimeona kamwanga kidogo maana nimegundua kuna kitu Kkinaitw a UNALLOCATED GB 498.59 Hebu nisaidieni ninawezaje kuzirudisha maana yenyewe inaonyesha rangi nyeusi kwamba haitumiki wakati sehemu za disk nyingine inaonyesha rangi ya bluu kwamba zinatumika na kiasi chake.
 
Kwenye suala la Altenatively namba moja kama sina yoyote nafanyaje maana niliinunua ikiwa na window 7 lakini sina cd ya windows yoyote ile nafanyaje?
 
Ok fine.,kuirudisha io bila CD inawezekana pia. Tumia io method ya kwanza, then Right Click io disk (black one) then create/allocate disk then utaipa na letter (ID) yake ie. D or E or F.
Afu itakupa option ya kuformat chagua NTFS.
Hopefully utafanikisha otherwise ikizingua itabidi upige clean format yan Upige Windows upya na kucreate partitions upya.
 
Ok fine.,kuirudisha io bila CD inawezekana pia. Tumia io method ya kwanza, then Right Click io disk (black one) then create/allocate disk then utaipa na letter (ID) yake ie. D or E or F.
Afu itakupa option ya kuformat chagua NTFS.
Hopefully utafanikisha otherwise ikizingua itabidi upige clean format yan Upige Windows upya na kucreate partitions upya.


Mkuu nimejaribu lakini bado haina mabadiliko yoyote ya maana any option please.
 
Finally, may be tusaidiane kama upo dar me nnazo DVD/CD za windows zote so ni PM tusomane uko.!
 
Ok fine.,kuirudisha io bila CD inawezekana pia. Tumia io method ya kwanza, then Right Click io disk (black one) then create/allocate disk then utaipa na letter (ID) yake ie. D or E or F.
Afu itakupa option ya kuformat chagua NTFS.
Hopefully utafanikisha otherwise ikizingua itabidi upige clean format yan Upige Windows upya na kucreate partitions upya.

poa jamaa umemwelesha sawa kabisa,ila kama inaendelea kumsumbua aformat acreate partion upya NTFS-w7 or 8 is the best
 
ishu hapa ni ku allocate hiyo partition ambayo ni unallocated fuata procedure hizo za kwanza halaf ialocate hiyo partition utaiona..
 
pitia kwenye help then search for disk allocation/partition utapata maelezo,mazuri 2 yaliyoclearr
 
Hii njia anatakiwa afanikiwe mimi nimefanya hivyo jana na nimefanikiwa. Labda kama kuna sehemu anakosea. Njia inatengeneza partition nyingine.

Ok fine.,kuirudisha io bila CD inawezekana pia. Tumia io method ya kwanza, then Right Click io disk (black one) then create/allocate disk then utaipa na letter (ID) yake ie. D or E or F.
Afu itakupa option ya kuformat chagua NTFS.
Hopefully utafanikisha otherwise ikizingua itabidi upige clean format yan Upige Windows upya na kucreate partitions upya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom