na unimanye
Member
- Apr 20, 2014
- 84
- 28
Nimekuwa nikifuatilia sana Taarifa ya Habari ya itv tangu kampeni za uchaguzi za jimbo la kinondoni itv haijawahi kutoa Taarifa za mgombea Cuf...
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
Mara mnamtambulisha Salim Mwalim kuwa ni mgombea wa Ukawa..!
Ukawa upi wakati kila Chama kimeweka mgombea?
Mgogoro uliopo Cuf ni wa Cuf wenyewe kama chombo cha Habari ripotini kwa usawa.. Acheni kutumika..
