I phone4 imeroga

Wisdom youlth

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
73
Reaction score
17
Msaada jamani iphone imeroga inatoa sound tu! Haisogei mbele wala nyuma ku crick ni double one click,, Program zilizipo chini hazipandi juu wala haziende left or right,,, plz msaada jamani.
 
Msaada jamani iphone imeroga inatoa sound tu! Haisogei mbele wala nyuma ku crick ni double one click,, Program zilizipo chini hazipandi juu wala haziende left or right,,, plz msaada jamani.

Mkuu umepanic? Mbona hueleweki. Tuliza munkar kwanza andika kwa utulivu tatizo usaidiwe. Inatoa sound tu kivipi? Haisohei mbele wala nyuma ndo vipi, be specific ndugu, ukinambia haisohei mbele wala nyuma ntakuwa sijaelewa vizuri, ku clck ni double one click ndo vipi? Program zilizopo chino hazipandi juu? Juu zikafanye nini au ulikuwa unajaribu ku edit position ya icons? Haziendi left wala right? Do you have enough apps zilizoko page nyengine?

Weka sawa kidogo ili tujue tatizo na vp tukusaidie
 
Msaada jamani iphone imeroga inatoa sound tu! Haisogei mbele wala nyuma ku crick ni double one click,, Program zilizipo chini hazipandi juu wala haziende left or right,,, plz msaada jamani.

Izime kwanza then toa betri na urudishe tena harufu iwashe labda imejamu 2!
 
Vumulia tuu wengine watakukejeli lakini wengine watakusaidia humuhumu jf. Kuna jamaa humu alikwa na tatizo la iPhone nadhani leo akasaidiwa!
 
tatizo la simu yako nishaijua ila siwezi kukuelekeza kwa hapa jinsi ya kutatua labda nipigie 0774439364 nitakuelekeza cha kufanya
 
Nashukuru wakuu kuna mkali ali ni pm na kweli nimefanikwa nimerudi hewani tena.
 
Msaada jamani iphone imeroga inatoa sound tu! Haisogei mbele wala nyuma ku crick ni double one click,, Program zilizipo chini hazipandi juu wala haziende left or right,,, plz msaada jamani.

Siyo tatizo kubwa kuna njia 2 either unaweza ukai click HOME KEY yaani kile kishimo cha chini many times hadi inyamaze hiyo ni kama try & error lakini inafanya kazi.

Ya pili tumia vidole vitatu weka juu ya screen na buluza chini utaona kama kibox kiko juu ya muda na simu itakuwa ina spell maneno pale kilipo kibox. Sasa kama simu yako ina password cha kufanya ni kuwa unahamisha hicho kibox kwa ku drag then una double click utachotaka kufungua. Ikifunguka nenda kwenye setting, general then nenda kwenye accessibility as accessibility iko chini tumia vidole
vitatu kuiburuza screen iende juu. Ukifika accessibility
Juu kuna button ya VOICE OVER. iturn off. DONE.
 
mndewa hatuendi hivyo.

hapana bana mtu kama huelewi kitu better shut ya Mouth! Asa anasema betri itolewe kwenye i phone? It means haijui hata i phone ilivyo
 
"The only true wisdom is .....in knowing...when... you know nothing".:smash:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…