McDeedanny
Member
- Apr 14, 2013
- 56
- 7
Ndugu zangu ninahitaji ushauri kabla sijafanya maamuzi yoyote,Kuna msichana nilitokea kumpenda sana,nilishawahi mtongoza ambyo hiyo ilikuwa mara ya kwanza ila alinitagaa kwakusema "sitaki mazoea na ww na ukiendelea kunifatafata nitamwambia Mama" kweli nish2ka sana kusikia mambo ya mama but nikaja kujua kwamba pia utoto ulikuwa unamsumbua hii ni ishu iliyo tokea Miaka 6 iliyopita,nikajipa Moyo kwamba bado ajakuwa na mm nilikuwa mdogo.sasa juzi mwaka jana ndo amemaliza 4m4,mwaka jana tarehe 29 ndo nilieza kuongea naye coz nilikuwa namwogopa sana hata salam nilikuwa siwezi kuitoa,sasa toka nimepata namba zake tarehe iyo tumeanza kuchat na hata kukutana,tarehe 1 nilijikaza nakuweza kumwambia Hisia zangu kwake chakushangaza Ameniambia ana mtu na anampenda sana nimemlilia na kumbembeleza hadi basi but yy anachosema nikwamba ananipenda ila anampenda zaidi hyo aliyekuwa naye sasa saa nyingine ananiambia ajui Tabia yangu saanyingine ananiambia siweze kukubalia kwa haraka saanyngine ndo hvy anasema anamtuu sasa nimeshindwa kumwelewa na juzi aliniambia sipende kukuona huna raha kwahiyo anaweza nikubalia ila hata nipenda anikubalie tuu, na chakushangaza zaidi kuna sku juzijuzi tuu alinikubalia kbsa ilikuwa usku nikamuuliza mara10 10 akasema amenikubalia na ananipenda ila ila skuamini ilipofika asbh ananiambia samahani sana jana nilikuwa sjielewe naomba nisamehe naomba tuendelee kuwa marafiki eti roho ilimuuma sana kwani amemsaliti jamaa aliye naye sasa,so wakuu nilikuwa naomba ushauri hyu msichana nifanye nn ili nimpate au ni give up japokuwa ningumu,au nifanye nn plz. I Need UR Help... Please
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums