I need husband

Mmmmh. ok

Nipo Mwanza, nami pia ni mtumishi wa gvt idara ya mipango.Dini ni mkristo na umri wangu ni 34.Endapo upo serious njoo Mwanza tupime mdudu kujua afya kisha kila mtu aione rangi halisi (tabia) ya mwenzake.
 
Ni Christian naabudu Luthera, nina Degree 1 ya Industrial Relation, nimeajiriwa gvt sector CMA commission of Mediation and Arbitration nataka Husband Mcha Mungu.
Ogopa mayahaya maana wakisikia hayo wanakuja kwa spid....bebi bebi nyingii...Kila raher katika mafanikio ya mume
 

Attachments

  • 1003803_686137994747610_642860804_n.jpg
    90.6 KB · Views: 269
mchaga!!! haya kwa wale wanaosema hawana bahati ndoano hiyo meza mtoto 26yrs
 
Nakutakia mafanikio upate Mume Bora asiwe Busy kama Sisi
 
probation ndo shake well before use I mean kugegeda ama ? manake kuna kamsemo eti tunatafunatafuna tupa kule kaazi kweli
Oh yeah,hatutupi kama ina utamu endelevu...lakini ikiwa ni kama muwa(sugar cane) basi twatafuna na kutema kapi!
 
watu wanaleta utani mwenzenu yuko serious
sio vizuri kabisa


.. Shanty kimaro...muombe Mungu tu...atakupatia
 
Last edited by a moderator:
Ni Christian naabudu Luthera, nina Degree 1 ya Industrial Relation, nimeajiriwa gvt sector CMA commission of Mediation and Arbitration nataka Husband Mcha Mungu.

Unataka wako mwenyewe au unaweza shirikiana na mkwe mwenza?
 
Hivi ni kweli kuwa ndoa zinahitajika kwa hali na mali kias hicho? Naona matangazo yanazidi ....... Kila la kheri bi dada

anza kutoza kodi ya matangazo madogo madogo, umilionea unakunukia bro
 
Ukitaka mume usiweke kigezo cha dini,age avina nafasi,mm nakutaka kikuoe nipo dar nipm

We call them checklist
Wanawake wanaendeshwa sana na hz makitu aisee n the funny thing is they never learn
 
Hivi ni kweli kuwa ndoa zinahitajika kwa hali na mali kias hicho? Naona matangazo yanazidi ....... Kila la kheri bi dada
imefika sehemu wanawake wameanza kujitambua,hii ni baada ya wanaume kujitambua na kuanza kukwepa majukumu.
 

Mkuu! Love is a choice! Sio those feelings and emotions, they just assist in making the choice! So all u have to do ni ku-make a choice, na kustick to it.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…