Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,470
- 95,999
HahahahahaMkuu umenichekesha. Kuna sehemu nadhani uliponea chupuchupu.π€£π€£π€£
haya bana....ngoja nibandike uzi upyaaπ€£π€£π€£π€£Sisi kama madada tunaomba uandike kwa Id yako kongwe ndio tutoe majibu π
Hatari Mkuu, mambo ya kuchapiwa yanauma hakuna mfanoπππ, Eto zaidi ya kaburi
Ali lala na Bibi harusi, kabla ya harusi.Hatari Mkuu, mambo ya kuchapiwa yanauma hakuna mfano
Sawa tunasubiriahaya bana....ngoja nibandike uzi upyaaπ€£π€£π€£π€£
Tatizo mdogo wangu wewe ulishakataa kunipa sifa na heshima zangu. Sawa ila time will tellAcha kuji fanya legend, akati madem Ume wajulia ukubwaniππ
Mzee wangu si uli nambiaga nim nunulie mtu humu pafyumu ya 70k π.Hahahahaha yaani nimpe 200K ya lunch ? Mmmh nimekua Mo...cha kushangaza niliona post yake sehemu anamwambia rafiki yake ana shida ya 5k alipe songesha
Bro naku heshimu Sana, and I love you as a family memberTatizo mdogo wangu wewe ulishakataa kunipa sifa na heshima zangu. Sawa ila time will tell
Haiwezekani!!!π₯΄haya bana....ngoja nibandike uzi upyaaπ€£π€£π€£π€£
Hahahahaha zawadi we nunua tu mkuu wala usihofu kila mtu na bahati yake.ππMzee wangu si uli nambiaga nim nunulie mtu humu pafyumu ya 70k π.
π Tresor Mandala
Ahahahahah... hapo kwa madem nitafute unijue upya. Leejay49 tuu, hapo nimetulia sina wenge. Umenichanganya na tabia zako za mwaka jana! πBro naku heshimu Sana, and I love you as a family member
πShida una jisifia Sana kuhusu madem, hapo ndo una niangusha- maana mshamba Sanaπ€
Nakumbuka uli nambia niji kaze kiumeππ.Hahahahaha zawadi we nunua tu mkuu wala usihofu kila mtu na bahati yake.ππ
Hahahahaha, eeh unajikaza tu ..mbn mie zawadi tu nanunua sana hajalishi ni nani yanguNakumbuka uli nambia niji kaze kiumeππ.
πSiku wahi nunua, maana lile jinga na jasusi la utapeliππ
Hahahahaha...mkuu unajua kuteuaBasi naku tambulisha kwa shemeji yako Nuzulati ππ
Mkuu sinaga utaratibu huo, unless labda mtu awe kwenye tough situation.Hahahahaha, eeh unajikaza tu ..mbn mie zawadi tu nanunua sana hajalishi ni nani yangu
Hahaha, afadhali huyu Yuko vizuri upstairs.Hahahahaha...mkuu unajua kuteua
Hahahahaha, hata mm naona yuko vzr ..kila la kheri. Mie humu sina sifa zaoHahaha, afadhali huyu Yuko vizuri upstairs.
Hivyo ulivyotaja ni vya muhimu sana sanaMkuu sinaga utaratibu huo, unless labda mtu awe kwenye tough situation.
Msosi, kuumwa, dhamana basi