I lead Tanzania, i will be the change

I lead Tanzania, i will be the change

Joined
Jul 15, 2013
Posts
15
Reaction score
6
I LEAD TANZANIA,

Inataka wewe kuacha kunyoosha vidole ukizungumza na kuwalaumu wengine. Badala yake, inakusukuma wewe kusimama na kuhesabiwa.

Kwa mara moja katika maisha yako, kuwa mabadiliko unayotaka kuona katika mazingira inayo kuzunguka wewe. wacha kuzungumza kwa nadharia. Acha kulaumu na kulalamika.

Amka na usimame kijana,nawe utambulike.

"Kama unataka kufanya dunia na nchi yako kuwa mahali bora, jiangalie mwenyewe, na ufanya mabadiliko".
 
Well said....toa mwongozo mkuu

Tukitaka kubadilisha chochote ni sisi wenyewe kusimama,na sio kila siku kulalamika.

Mwongozo wa kwanza ni tuache ushabiki wa vyama vya siasa na tusimame pamoja kusaidiana sisi wenyewe.

Amka kijana, tuiongoze nchi yetu.
 
Be specific.
Weka proposed strategies hapa tu discuss. Kusea tu tuamke kwani tutajibuje posts tukiwa tumelala?

Unajua kuna tabia ya watu kuiga vya nje na kuvileta hapa kwetu mazima mazima, wewe unamchallenge kijana wabongo aamke na kuleta mabadiliko yeye mwenyewe na aache ushabiki wa vyama una maana gani exactly?
System yetu tu yenyewe iko corrupt to the core ukisimama mwenyewe unaibadilisheje?

Labda useme kijana akomae kwenye personal development ila otherwise your generalized statement hapo juu ni zile za kupatia misaada tu nje kwa kuwa impress wazungu wakati specific strategies hakuna au ni impractical to your typical african in tz.
 
I LEAD TANZANIA,

Inataka wewe kuacha kunyoosha vidole ukizungumza na kuwalaumu wengine. Badala yake, inakusukuma wewe kusimama na kuhesabiwa.

Kwa mara moja katika maisha yako, kuwa mabadiliko unayotaka kuona katika mazingira inayo kuzunguka wewe. wacha kuzungumza kwa nadharia. Acha kulaumu na kulalamika.

Amka na usimame kijana,nawe utambulike.

"Kama unataka kufanya dunia na nchi yako kuwa mahali bora, jiangalie mwenyewe, na ufanya mabadiliko".
i lead tanzania
I lead Tanzania, i will be the change.
Taifa Ni Wewe. Simama Sasa!
 
Last edited by a moderator:
Baba V; Mbavu sina mie, uzuri wake mimi sijalala!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom