hiyo ni very famous quote ya waislam..
maana yake mungu akisema kitu kuwa kinakuwa.
qun faya qun.
ukichunguza kuna mabasi,vibajaji na malori pia yameandikwa hiyo nukuu....
Pearly asante sana kwa ushuri mzuri..ninauzingatia.Thank you once again.FirstLady tangu kipindi hivho sijaamua rasmia kuwa na mtu..nimeamua kuwa peke yangu.