General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Kwako Mary,
Najua haupo humu, na sitaki ujue..
Najua ninaweza kukueleza haya ila moyo unasita. Moyo unagoma, naona ugumu mno kukueleza
Umenikosea, nimekukosea tumekoseana.
Umeomba msamaha, nimeshindwa kukusamehe.
Pamoja na yote bado moyo unakupenda, nakupenda sana.
Nashindwa kurudia lile penzi, nashindwa kabisa.
Lakini laiti ungejua"kuishi bila wewe nashindwa" nilikuzoea
Acha maisha yaendelee, nitazoeaa.
Sent From Ikulu-Magogoni street
Najua haupo humu, na sitaki ujue..
Najua ninaweza kukueleza haya ila moyo unasita. Moyo unagoma, naona ugumu mno kukueleza
Umenikosea, nimekukosea tumekoseana.
Umeomba msamaha, nimeshindwa kukusamehe.
Pamoja na yote bado moyo unakupenda, nakupenda sana.
Nashindwa kurudia lile penzi, nashindwa kabisa.
Lakini laiti ungejua"kuishi bila wewe nashindwa" nilikuzoea
Acha maisha yaendelee, nitazoeaa.
Sent From Ikulu-Magogoni street