IslamTZ
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 309
- 182
- Dadangu anatengeneza juice na ice cream, biashara imekufa baada ya hasara mfululizo inayotokana na kuoza kwa bidhaa hizo kwa sababu hamna umeme.
-Kaka yangu ni kinyozi, bahati mbaya hana jenerator katika saloon yake na hivyo anafanya kazi robo siku na kipato chake kimepungua maradufu.
-Babangu mdogo ni mchomeaji (welding). Hakuna kazi huko kwani hakuna umeme.
-Wote hao juu wana watoto wanaowasomesha secondari na msingi, wamenifata wakiniomba msaada eti niwasaidie ada.
-Binafsi naandika dissertation yangu ya MA. Muda umeniishia, umeme hamna, kazi haiendi.
Jk sitokusamehe kwa hili la mgao!! asilani kwani you have hurt my family and myself.
-Kaka yangu ni kinyozi, bahati mbaya hana jenerator katika saloon yake na hivyo anafanya kazi robo siku na kipato chake kimepungua maradufu.
-Babangu mdogo ni mchomeaji (welding). Hakuna kazi huko kwani hakuna umeme.
-Wote hao juu wana watoto wanaowasomesha secondari na msingi, wamenifata wakiniomba msaada eti niwasaidie ada.
-Binafsi naandika dissertation yangu ya MA. Muda umeniishia, umeme hamna, kazi haiendi.
Jk sitokusamehe kwa hili la mgao!! asilani kwani you have hurt my family and myself.