JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,464
- 18,235
Maisha plus is far more educative and beneficial to the youth!! Kep it up Masoud Kipanya &co!!!
Aisee Mpendwa, naomba update za hii kitu....
I stand to be corrected, nadhani Masoud na wenzie wameanza kuwatafuta contestants.
Aisee Mpendwa, naomba update za hii kitu....
Yah ahsante Mtu Mzima, nimecheki hapa google nimekuta stori kibao toka blogs tofauti tofauti.....
Kikubwa nilichokiona kwenye taarifa ni kuwa ameenda kutafuta watu wilayani kabisa nadhani idea yake ni kupata watu wa vijijini kiasi fulani.
Jamaa ni mtu wa tofauti sana na anastahili heshima sana kwa kipaji chake tofauti na wapuuzi wengi wasio na vipaji wala nini ila ila wanabebwa-bebwa
Inakujia hivi karibuni, stay tuned na fuatilia TBC maana wameshaanza kutoa matangazo.
Masoud Kipanya ni mmoja kati ya artists wachache ambao ni wazalendo na wanatumia kipaji chao kwa manufaa ya wengi!!
TBC hawana program watamzingua tu, ila sababu hamna jinsi inabidi tu avumilie tu na hao jamaa ambao hawawezi kusimami ratiba zao.
niambieni hapa ni nani alieshinda BSS tangu kuanzishwa kwake na akaendelea kuwa nyota wa mziki.
kiukweli BSS inawaua wasanii. ni wachache sana ndo wanaoskia ila wengi wao wanavuta pafu mtaani
kidogo tursker project tunayaona mafanikio yake
Yah ahsante Mtu Mzima, nimecheki hapa google nimekuta stori kibao toka blogs tofauti tofauti.....
Kikubwa nilichokiona kwenye taarifa ni kuwa ameenda kutafuta watu wilayani kabisa nadhani idea yake ni kupata watu wa vijijini kiasi fulani.
Jamaa ni mtu wa tofauti sana na anastahili heshima sana kwa kipaji chake tofauti na wapuuzi wengi wasio na vipaji wala nini ila ila wanabebwa-bebwa
Mkuu nashukuru wewe umeliona hilo kwamba huyu bwana kipanya anastahili pongezi za kipekee. Ilikuwa katika thread ya kusimamishwa kazi Mafuru wa NBC nikasema kuna vijana ambao ni role models na wanastahili sifa. Nikamtaja Mafuru,Mchechu mk na kuna watu walipinga sana kuwa kumuweka kipanya amongst the guys seemed to be on the drive seat of the giant corporations was wrong. Kiukweli huyu jamaa ni role model na ni mchapakazi hasa. Naisubiri Maisha Plus nione mambo mapya.
Nadhani bss ni matapeli wanao tumia vipaji vya vijana kujinufaisha