mimi ni binti wa miaka 23 ninasoma chuo kiukweli kuna mvulana ambaye nilikuwa na mahusiano naye tangu mwaka 2007 kwenye mahusiano yetu hatukuwahi kufanya mapenzi ata siku moja hata hivyo alikuwa akiniambia tufanye ila mimi nilikuwa namzungusha nikimwambia anisubiri ila kiukweli alinivumilia na mimi niya ilikuwa kutokufanya naye mapenzi mpaka anioe ila kwasasa mwenzangu ananilazimisha sana kufanya naye wakati tulishaongea tangu hapo awali kabla ya kufanya mapenzi tupime ukimwi kwanza ndo tutafanya mapenzi lakini mwenzangu anasema hawezi kufanya katika maisha yake hilo suala la kupima kwani halina maana kwake na yeye haonyeshi suala lolote la kutaka labda kunioa.
Je huyu mwanaume ana nia gani na mimi????
Je huyu mwanaume ana nia gani na mimi????