Huyu ndugu yangu hata simuelewi...

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,557
45,869
Niombe radhi kwanza kwamba siko against single mothers. Mimi sio single mother ila sijui kesho yangu

Kuna ndugu yetu bwana mdada mzuri tu anawatesa wazazi wake sana. Yuko 40 now aliamua kuzaa zake. Sijui aliamua au vipi sijui ila baba mtoto kumbe ni yule duniani hayupo ahera anatafutwa kwenye malezi ya mtoto hajawai kutoa hata mia.

Wanafamilia tukaona isiwe kesi dada mwenyewe hana kazi wala biashara mtoto apate malezi na elimu. Wakati watu wanapambana na huyo dogo dada akapata tena mimba, huyu baba wa sasa lahaula huyu hata hajulikani ahera Wala kuzimu, watu wakakubali tu.

Mtoto kafikisha miaka minne tena kapata mimba tena huyu baba yake ukioneshwa utaishia tu kumnunulia yeye maziwa na vitamins sijui hata waligegedana vepee na sperm zikatoka. Dada mwenyewe sio kwamba vepee kasoma tu hadi chuo cha ualimu

Wanafamilia wameamua kumrudishia wanae, hana mbele hana nyuma halafu ukikaa nae wala hajutii tena anakushauri ndugu yangu zaa hata mtoto mmoja. Maskini na watoto wake tajiri na Mali zake.

Inasikitisha sana na sio huyu tu masingle mother wengi huwa hawajifunzi ana mtoto ambaye baba yake kimeo ila bado ataongeza tena kama una mtoto kitulize focus na huyo mtoto wanaume ni walewale
 
Dada naona unafatilia maisha ya yake sana..Kwanini usiishi maisha yako?

Muache afanye yanayomuhusu....hadi JF unamuweka!

This is new to me!
 
Hii ndio sababu waafrica hatuendelei kimaisha hasa wazazi wanapoingilia kipato cha mtoto mwenye future kihudumie nduguze ambao sio wanae, kwa hali hii familia nyingi sana hujikuta masikini kwa kukimbiwa na ndugu wenye vipato walio jiwekea akiba na malengo kemkem....

Time always tells, baba na mama wanapofariki watoto huwa hawasaidiani tena na ikibidi hata hawazikani kwani baadhi ya wazazi wanakuwa na mapenzi ya dhati kwa baadhi ya watoto wao, hivyo hata akizaa watoto 12 ataonekana shujaa na yenyewe hayawazi kuwa ipo siku hao wazazi hawatokuwepo.

Mwisho wa mchezo ni kuwa baada ya arobaini ya wazee na mali kugawanywa au kabla ya mali kugawanywa wale wanaojielewa husepa mazima kwakuwa kwa mujibu wa waafrica ni kuwa Mtoto hawezi kuwa huru iwapo wazazi wake watakuwa hai.

Neno nitakulaani, nitapiga ziwa chini au maneno kibao ya mikosi ndio huwa kimbilio la wazazi wa hivi..... All in all huwaangamiza sana wale waliowadekeza wakiwa hai duniani.

Sisi tulio na malengo tusiache kuwa na malengo maana hatujui kesho yetu, leo tuwasaidie kinafiki hawa wasiojitambua ila muda utafika hatutokuwa na shurutisho kutoka kwa mtu yeyote yule, na hapo ndio game huwa tamu sana, tena hasa kwa familia zenye watoto wengiii waliozaliwa kwa sifa za kujaza ukoo.
 
Hii ndio sababu waafrica hatuendelei kimaisha hasa wazazi wanapoingilia kipato cha mtoto mwenye future kihudumie nduguze ambao sio wanae, kwa hali hii familia nyingi sana hujikuta masikini kwa kukimbiwa na ndugu wenye vipato walio jiwekea akiba na malengo kemkem.... Time always tells, baba na mama wanapofariki watoto huwa hawasaidiani tena na ikibidi hata hawazikani kwani baadhi ya wazazi wanakuwa na mapenzi ya dhati kwa baadhi ya watoto wao, hivyo hata akizaa watoto 12 ataonekana shujaa na yenyewe hayawazi kuwa ipo siku hao wazazi hawatokuwepo. Mwisho wa mchezo ni kuwa baada ya arobaini ya wazee na mali kugawanywa au kabla ya mali kugawanywa wale wanaojielewa husepa mazima kwakuwa kwa mujibu wa waafrica ni kuwa Mtoto hawezi kuwa huru iwapo wazazi wake watakuwa hai.
Neno nitakulaani, nitapiga ziwa chini au maneno kibao ya mikosi ndio huwa kimbilio la wazazi wa hivi..... All in all huwaangaliza sana wale waliowadekeza wakiwa hai duniani.
Sisi tulio na malengo tusiache kuwa na malengo maana hatujui kesho yetu, leo tuwasaidie kinafiki hawa wasiojitambua ila muda utafika hatutokuwa na shurutisho kutoka kwa mtu yeyote yule, na hapo ndio game huwa tamu sana, tena hasa kwa familia zenye watoto wengiii waliozaliwa kwa sifa za kujaza ukoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu umesema fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu umesema fact

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu wapo familia nyingi sana..... Nina above 35 sina hata mtoto na watu wananiona kituko, kumbe nina malengo yangu kwani ndani ya familia walioharibu life ni wengi mnooo na wanaitwa mashujaa..... Nawahurumia kwani ipo siku watatambua kuwa why nilichelewa kuwa na familia..... Life needs preparation kama vile kumfikisha kileleni mwanamke... Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niombe radhi kwanza kwamba siko against single mothers. Mimi sio single mother ila sijui kesho yangu

Kuna ndugu yetu bwana mdada mzuri tu anawatesa wazazi wake sana. Yuko 40 now aliamua kuzaa zake. Sijui aliamua au vipi sijui ila baba mtoto kumbe ni yule duniani hayupo ahera anatafutwa kwenye malezi ya mtoto hajawai kutoa hata mia.

Wanafamilia tukaona isiwe kesi dada mwenyewe hana kazi wala biashara mtoto apate malezi na elimu. Wakati watu wanapambana na huyo dogo dada akapata tena mimba, huyu baba wa sasa lahaula huyu hata hajulikani ahera Wala kuzimu, watu wakakubali tu.

Mtoto kafikisha miaka minne tena kapata mimba tena huyu baba yake ukioneshwa utaishia tu kumnunulia yeye maziwa na vitamins sijui hata waligegedana vepee na sperm zikatoka. Dada mwenyewe sio kwamba vepee kasoma tu hadi chuo cha ualimu

Wanafamilia wameamua kumrudishia wanae, hana mbele hana nyuma halafu ukikaa nae wala hajutii tena anakushauri ndugu yangu zaa hata mtoto mmoja. Maskini na watoto wake tajiri na Mali zake.

Inasikitisha sana na sio huyu tu masingle mother wengi huwa hawajifunzi ana mtoto ambaye baba yake kimeo ila bado ataongeza tena kama una mtoto kitulize focus na huyo mtoto wanaume ni walewale
Fuata ushauri wa dada uzae japo mtoto mmoja, nipo tayari kukupa mbegu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom