Siamini kama kweli alikuwa mwanafunzi. Ila ukisoma magazeti ya Shigongo inaonyesha ni wivu wa mapenzi na hali yao ilikuwa duni. Issue ya Yahaya kuwa mzinzi na mlevi pengine ilitokea kwa kuwa na wivu na mtoto mbichi Hamida. Inaonekana Yahaya alitaka Marehemu akakataa! Inabidi sisi akinababa tuache kulazimisha, akikataa mwache tu huo ni mwili wake. RIP HamidaHuu ulikuwa ni msiba ulioleta simanzi mtaa mzima, maeneo ya Mbagala Kibonde Maji ambapo wanandoa hawa walikuwa wanaishi. Wanandoa hawa walikuwa ni jirani zangu, nyumba ya 3 kutoka nyumbani kwangu ambapo walikuwa wamepanga nyumba nzima. Sikujua kama dada huyu alikuwa mwanachuo ila mtaani watu tulimfahamu tu kama mfanyakazi wa Kampuni ya Red blue, maana ilikuwa ni kawaida yake kuonenana mtaani na gari dogo lenye maandishi ya Red blue. Mengi kayaeleza mleta mada, R.I.P Hamida.
Yahaya upo wapi........!!!!!!
yahaya eehh.................!!!
Yahaya kumbe muaji.... Kwanini umemua hamidaaa...
Yahaya eeheh.
R. I. P hamida.!
Siamini kama kweli alikuwa mwanafunzi. Ila ukisoma magazeti ya Shigongo inaonyesha ni wivu wa mapenzi na hali yao ilikuwa duni. Issue ya Yahaya kuwa mzinzi na mlevi pengine ilitokea kwa kuwa na wivu na mtoto mbichi Hamida. Inaonekana Yahaya alitaka Marehemu akakataa! Inabidi sisi akinababa tuache kulazimisha, akikataa mwache tu huo ni mwili wake. RIP Hamida
Nataka kusema kuwa mleta mada ameongeza issue ya kuwa mwanafunzi chuo kikuu maana akina shigongo walisema alimaliza form four. Pia kuna wakati wanaume wanasingiziwa sana, mara nyingi tabia za kutoka nje ya ndoa zinasababishwa na wake (kwa nyie mliooa) kujituma kabla ya ndoa na kujisahau baada ya ndoa. Kutokana na utandawazi, mwanaume akinyimwa mawazo yake yanamtuma kuwa anawapa wengine pengine anaochat nao au anaofanya kazi nao. Hili ni tatizo kwani ukimuona mwanaume mlevi jua kuna mateso nyumbani kwake. Siamini kama mtu hampendi mwanamke anaweza kulazimisha penzi na hata kufikia kuua. Jua huyu mama aliolewa akiwa bado mwanafunzi. EndeleaKwa hiyo unataka kusemaje aseeee????!!!!
Siamini kama kweli alikuwa mwanafunzi. Ila ukisoma magazeti ya Shigongo inaonyesha ni wivu wa mapenzi na hali yao ilikuwa duni. Issue ya Yahaya kuwa mzinzi na mlevi pengine ilitokea kwa kuwa na wivu na mtoto mbichi Hamida. Inaonekana Yahaya alitaka Marehemu akakataa! Inabidi sisi akinababa tuache kulazimisha, akikataa mwache tu huo ni mwili wake. RIP Hamida
Inna lillah!!!!
Kuna siku tulijadili humu kama nakumbuka vizuri,sisi brothers pamoja na kutotakiwa kuingilia nyumba za dada zetu lakini inapotokea ugomvi kwa kweli u better stand firm na jamaa ajue kuwa sissie anao watu wa kumlinda,kuna wanaume wenzetu hawana adabu ati!!!!!!
Sio muda wa kulaumiana ila kama angeenda na mtu mzima may be angekuwa hai leo!!!!
Dadaz vumilieni ndoa zenu ila ikifikia kupigwa njooni mlie kwa kaka zenu machozi yenu hayataenda bure please please maneno waweza vumilia lakini vitisho na vipigo mje mbio mabegani mwetu,we have shared a lot back then,why not your pain????!!!!!!
Imagine of a three years child whose moma was killed by an embacile supposed to be a daddy!!!!!
So sad kwa kweli,Allah akurehemu wewe dada Hamida na wengine waliotangulia!!!!!!
yahya anaishi wapi?yahaya hafai!
Thanks, akinyanyua mkono tu, natimka kuja kwako.
Inasikitisha kuona bado kuna wanamme wanapiga wanawake, au ni wagonjwa vichwani?
Nataka kusema kuwa mleta mada ameongeza issue ya kuwa mwanafunzi chuo kikuu maana akina shigongo walisema alimaliza form four. Pia kuna wakati wanaume wanasingiziwa sana, mara nyingi tabia za kutoka nje ya ndoa zinasababishwa na wake (kwa nyie mliooa) kujituma kabla ya ndoa na kujisahau baada ya ndoa. Kutokana na utandawazi, mwanaume akinyimwa mawazo yake yanamtuma kuwa anawapa wengine pengine anaochat nao au anaofanya kazi nao. Hili ni tatizo kwani ukimuona mwanaume mlevi jua kuna mateso nyumbani kwake. Siamini kama mtu hampendi mwanamke anaweza kulazimisha penzi na hata kufikia kuua. Jua huyu mama aliolewa akiwa bado mwanafunzi. Endelea