Huyu ndiyo Diamond, ukimuacha anakula shoga yako kwanza

weka picha
 
Ukishakuwa maarufu na tuhela twa kutosha, hawa mademu huwa wanajileta wenyewe tu. Ni ngumu sana kwa mwanamume ku resist temptations za mademu....hasa "wakali". Uanaume tabu sana. Namuelewa sana Mondi.
 
Ningekua Mondo ningetangaza kuwa nahitaji kuona, ila demu awe shombeshombe wa kinyarwanda na sealed,.
 
Mi naona aendelee kupiga hasa,ahakikishe anapiga kila anayemtaka hadi rekodi iwe ndefu zaidi,baadhi ya madada wa mjinjini huwa wanajifanya wanyanyasaji sana mwanaume akiwa hana hela,sasa Mond anazo,kujumlisha na umaarufu.
Inamaana WCB pale,Aunty Ezekiel wa Iyobo akitaka kumgomga ni suala la kumkonyeza tu,anamla.Wolper aliyekua wa Harmonize,akitakwa na Mond ni suala la kuvutwa tu analambwa,duuh! jamaa anatendea haki umaarufu wake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…