Huyu Ndiye Mch. Peter Msigwa (Mwanafilosofia) Ninayemfahamu

Huyu Ndiye Mch. Peter Msigwa (Mwanafilosofia) Ninayemfahamu

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Blue Monday!

Katika nukushi yake ya Facebook, Mchungaji Peter Msigwa ameandika haya;

"Hatutaacha wala kuogopa kutenda na kusema mambo sahihi eti kwa sababu kuna watu watatupinga kwa wao kutenda na kusema mambo yasio sahihi! Tu kwa sababu eti mtu ana uwezo au akili ya kukuelekeza, maelekezo yake yanaweza yakawa sio sahihi!

KUMBUKA MTU ANAWEZA KUFANYA JAMBO LISILOSAHIHI KWA USAHIHI"

Sehemu pekee niliyoipenda ni hii;

"Kumbuka mtu anaweza kufanya jambo lisilosahihi kwa usahihi"
 
Msigwa muache bwana......

Kuna Mbugila mmoja alipita pale Iringa akadai ccm ilipoteza jimbo hilo kwakutomteua Mwakalebela kugombea kwa tiketi ya chama chakavu....!!!! Na kwamba mwakani (Mwaka huu) ccm imejipanga kulirudisha jimbo hilo mikononi mwao kwa kumpa mtu sahihi........

Maweeeeeeeeeeeeeee.......... Matokeo ya uchaguzi serikali za mitaa yaemesema yote..!!!

Unazijua Nukuu hizi.....,

Chama Chakavu...!!!
Akili Ndogo kutawala Akili kubwa...!!!
Watu wenye akili timamu kuweka akili zao mfukoni.!!
Akiongea profesa (wa ccm) hana tofauti na mtoto wa darasa la kwanza...!!!
Maneno ya kwenye Kanga....!!!!

Huyo ndiye Msigwa.

BACK TANGANYIKA
 
Mfano.....
  1. akili ndogo kuendesha kubwa
  2. kutokukubaliana na Dini ya mwenzako (Mchungaji, Padri, Sheikh)
  3. kutokukubaliana na Sera la Kabila la mwenzako, kabila fulani tuna lile wawe walinzi tu wale hawaeleweki
  4. kutokuachiana hata kwa jambo lisilo sahihi ..... ndio Mkuuuuu
 
Mkuu tumegee; yakoje huko Iringa?

Kuna Nyuzi zilikuwa zikiwekwa hapa Mkuu Dudus, zinaonyesha Chadema imefanya Uzuri huko Iringa wale wote maccm pamoja na Kitembo wao nyuso zao wamevisha soksi...!!!

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom