aisee kujua mashine nzuri unaangalia sura mkuu? kuna mademu wanasura nzuri mashine haifai acha kabisa nisiseme mengi..... gadner alitulia sema kwa kuwa binadamu tunahulka ya kuchoka ndiyo kachoka kasepa ... its nature okey
Gadner kapita ndio...kachapa hiyo mashine kaimwaga kisha kasepa...thats a fact. Au mulitaka asemeje? Kwamba ngoma ya gadner?....huyo ni x wa gadner...kachapa imelala kasepa.
But mzigo kama huo kuumega ilikuwa inahitaji moyo ka wa mwendawazimu vile...mie namkubali nyimbo zake tu na struggle zake kwenye maisha na ubishi wa dar....ila likija suala la kummiliki dahh...ngumu sana aisee.
Usiogope, kuna watu humu wanataka kuhakikisha kweli yupo single sasa? Wanataka kumpigia misele, wanajua wakikaa humo, kazi yao ni kukatika tu, wanapumzika shida kwa few years.
Usiogope, kuna watu humu wanataka kuhakikisha kweli yupo single sasa? Wanataka kumpigia misele, wanajua wakikaa humo, kazi yao ni kukatika tu, wanapumzika shida kwa few years.