Huyu mzee aliopo CTN sasa ni nani?

Huyu mzee aliopo CTN sasa ni nani?

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Nipo naangalia hiyo channel, kuna mzee anaongea utumbo sana sambamba na mtangazaji kuto control vizuri kikao husika.

Anaenda nje ya mada kuu, anatukana watu, magazeti kama Tanzania daima kuwa ni la kishetani n.k

Naomba kumjua pls.

Kipindi kinaendelea kuchangia
SMS 0759 886 802
SIMU 0737 218 285
 
CTN ni nini mkuu ? Kuuliza si ujinga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom