balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,700
- 15,436
- Thread starter
-
- #21
hapana mkuu nilimuoa mwenyewe ila nitakuqa nilikosea, lucky dube,the choice I made didn't work out the way I thought it could.Mzee huyo mwanamke wazazi walikupointia au.
tatizo mmeshavifikisha ama nimpe Dogo aviweke chumbani kwake?Usipeleke hivyo v2 home uone akija atauliza vipo wapi
tatizo mmeshavifikisha ama nimpe Dogo aviweke chumbani kwake?Usipeleke hivyo v2 home uone akija atauliza vipo wapi
Ukimpata mgonge mpaka ajue mwanaume si kumfanyia maigizo.
mkuu huyu in Mke Wangu Wa ndoa kabisa sema ni MTU kiburi sana,nilimwambia aondoke kwao hataki na kitandani mzungu Wa NNE kama kawaida
Jiulize kwa nn akudharau....utakuwa una gubu si bure
Nilikuwa Naye sehemu Fulani nikanunua mazaga ya home,mwanamke kakataa kubeba na Leo mvua imesababisha usumbufu nipo kwenye gari hapa na mizigo yangu sijui yeye alikoelekea
Nilikuwa Naye sehemu Fulani nikanunua mazaga ya home,mwanamke kakataa kubeba na Leo mvua imesababisha usumbufu nipo kwenye gari hapa na mizigo yangu sijui yeye alikoelekea