themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Wanawake skuizi hamuolewi mnaishia kutumika kwa sababu ya tamaa zenu na sisi wanaume huwa tunakuja kama wewe unavyokuja kwetu yaani ukijifanya unatamaa kipindi cha mwanzo basi na wewe ukubali kuto mzigo hapo hapo
Kuna kabinti kaliniletea mazoea bwana siku ya kwanza tu kamenitext kakaomba hela hapo hapo, siku ya pili akaomba tena hela siku ya 6 kaanza kuomba simu mpya ya smartphone na vitu vingine vya thamani hapo kumbuka ndani ya siku mbili tu za kwanza kashaomba hela
Alivyoomba simu nikamwambia Aje aichukue nyumbani nimsetie vizuri na tuenjoy pia
Akagoma kuja anasema eti nimeanza kutaka vitu vizuri kutoka kwake mapema hahaha, nimemtumia sms ya mwisho hiyo na sim kazima ndukiii
Watoto wa kike sometime wanaume tunakuwa na hela ila kudanga kwenu kunafanya mkimbiwe
Kuna kabinti kaliniletea mazoea bwana siku ya kwanza tu kamenitext kakaomba hela hapo hapo, siku ya pili akaomba tena hela siku ya 6 kaanza kuomba simu mpya ya smartphone na vitu vingine vya thamani hapo kumbuka ndani ya siku mbili tu za kwanza kashaomba hela
Alivyoomba simu nikamwambia Aje aichukue nyumbani nimsetie vizuri na tuenjoy pia
Akagoma kuja anasema eti nimeanza kutaka vitu vizuri kutoka kwake mapema hahaha, nimemtumia sms ya mwisho hiyo na sim kazima ndukiii
Watoto wa kike sometime wanaume tunakuwa na hela ila kudanga kwenu kunafanya mkimbiwe