pweza mtam
Member
- Apr 22, 2015
- 16
- 0
Habari wadau,
Naombeni ushauri. Kuna demu mmoja nampenda sana ila tangu tuwe kwenye mahusiano, ni muda sasa. Mpenzi wangu huyu simuelewi coz muda mwingne nampigia simu hapokei, nikimuuliza ananiambia hamna kitu kawaida tu.
Na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nikitaka kukutana nae anakata simu na anatuma sms na kusema ananipenda kwa dhati nisiwe na wasiwasi. Je wadau, kuna upendo kweli hapa au nifanyeje?
Ushauri wadau.
Naombeni ushauri. Kuna demu mmoja nampenda sana ila tangu tuwe kwenye mahusiano, ni muda sasa. Mpenzi wangu huyu simuelewi coz muda mwingne nampigia simu hapokei, nikimuuliza ananiambia hamna kitu kawaida tu.
Na kinachoniumiza zaidi ni kwamba nikitaka kukutana nae anakata simu na anatuma sms na kusema ananipenda kwa dhati nisiwe na wasiwasi. Je wadau, kuna upendo kweli hapa au nifanyeje?
Ushauri wadau.