Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
- Thread starter
-
- #21
Heheheh....make up stories hizi jamani
Haha. Haswaa. Kumamae.
Kutofichika si tatizo...lakini jirani nauliza kwa rafiki wa kawaida kaiona vipi?
Lets be realistic...
Mim ushauri wangu achana na nae kwasababu kwa hiyo tabia yke ya kuanika wasichana hovyo sio nzuri kabisa
Mkuu hii sio make up, kwani sie wadada haturuhisi kutamani? Au ninyi ndio mna haki ya kutamani? Hivi kweli nipoteze muda nisilale kisa nitengeneze story? Come on!
Hivi Partner unajua like zingine ni za uchokozi? Umelike nini sasa hapo.ama ushanistukia?
As i wrote ni rafiki yangu sana, we use to hang out mara kadhaa. Hupendelea kuvaa body tight. Unataka kunambia hapo hazitoonekana?
Hahahaaa. Haya bwana. Thanks for the laugh.Partner wako wakati mwingine huwa ni mchokozi tu wala usikonde partner.
Haha. Haswaa. Kumamae.
Anyway...if you insist ngoja tu-abide na ukiandikacho
But i'll be the last to believe hii kitu yako mkuu, unless hiyo part uliweka kunogesha tu....
dada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof
Haha. Haswaa. Kumamae.
Oyaaa. Kalaleeeee ukiamka uandike vizuridada umbwa anaruma ana unajua anaruma we wataka weka kidole ili..useme liumbwa linu.lalumaa ss...akili kumkichwaa usije ukajuta ukalia kwa ujinga wako..six pat izo akitoka nje anaonwa na wangapi......tafakat chukus atua yaan kwanza uyo hana ata feels kwako mpk anakuambia leo.amina..kesho jane ww bado wataka au unataka niamn mapenz.upof na wanawake mwalimu wao.kipof
Mh, machale yamenicheza! Kuna gf wake mmoja huwa anapenda kuongea naye sana ana swagga kama zako anafanya kazi Ubalozi wa Marekani. Sijui ndiyo wewe?
Ok, though sikutaka kufunguka zaidi ila naona unanilazimisha. Lemme put it like this. One day we went to swim ndiyo nikaziona. Bhaaaaaasssss!
Tabia hizo hua hatuachi kwa sababu tunawavutia wengi kama ilivyo kwako.. tena wenzio wanapiga hatua zaidi wanatueleza how they feel about us..onja ukishindwa utaghairi jambo ambalo hua gumu pia..tafakari .Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost 6 months now. Ananiamini sana kiasi kwamba kuna vitu ambavyo he suppose to tell his girlfriend to do ila huwaga ananiambia mimi ndo nifanye. Let say kumsaidia issue za TRA, Kulipia bill za maji na umeme, kupeleka document fulani mahali n.k.
I real like him, lakini ana tabia moja ambayo haifichi na wala haogopi kunisimulia kuhusu wasichana anaodate nao. Yan kila akitoka na msichana atanisimulia kama kumponda atamponda kama kumsifia atamsifia. Tatizo langu kwake, haipiti siku 3 bila kumuota though simuoti kwa majambozi.
Naumia tu kimoyomoyo, i wish nimwambie hisia zangu ila naogopa. Najiuliza je akikubali kuwa na mimi ataacha kweli tabia yake? Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.