Huyu mjamzito nimsaidiaje?

Huyu mjamzito nimsaidiaje?

scatter

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,671
Reaction score
940
Jamani kuna dada nimezoeana naye hapa ana undugu na mpangaji wangu huyu dada ni mjamzito amekuja hapa baada ya kutoswa na mumewe
mozea yangu naye yalikua ktk simu tu kwani alikua anatumia simu yangu kuwasiliana na mumewe!

Sasa ameondoka hapa home ila amekua akiwasiliana nami kwa simu na akiniomba ni mfariji kimapenzi baada ya kutoswa na jamaa yake.

Mapenzi anayotaka ni yale yapeku peku hapo ndio nimebaki dielemma huyu dada ana watoto watatu wa jamaa mwingine ila naona kama anataka kuishi nami! Kesho ndio siku ya gemu please naombeni ushauri!
 
Subiri waje wakuzodea Kuna jamaa anajiita mtoto wa mjini sijui jana walimshambulia ka nini!
 
dd426da5e9c9d1b6892627e110fbfd71953de4e6b885b99c5c7684ff31a91438.jpg
 
nenda kapukuchue papuchi ya bure hiyo!!
unataka nini sasa?
 
Dah Kweli binaadamu tonatofautiana!........................
 
Basi usiogope!! Au unaogopa nn?

ishu inayonifanya kusita sita ni kudai mapenzi bila kinga ndio vizuri kwake
wakati mimi nishajinunuli boksi mbili za gemu so nahisi akizikataa itakuaje?!!
 
My dear friend u re joking wit FIRE N NOW the way i can see u want to throw stones to a POLICE STATION. We don t knw where n wen u started seducing her. N the way things r going,u r the cause of her marriage break up.Remember she s somebody's wife n not ur wife. Hw will u feel if somebody sleeps with ur expectant wife? Don t tae advantage n of somebody's problem,mayb she want to see u wat kind of a man r u. My free advise s my boy,try to call her hubby n find where there s a problem n solve it once n for all. If the problem s big LET HER GO TO HER PPLE don't stay wt her ok? Otherwise u'll blame urxelf.
 
ishu inayonifanya kusita sita ni kudai mapenzi bila kinga ndio vizuri kwake
wakati mimi nishajinunuli boksi mbili za gemu so nahisi akizikataa itakuaje?!!

Muamuzi ni wewe kuvaa au kutovaa ,ila nakuona kama wewe ni mpore na wanawake wa sikuhz akijua we mpore kula gemu akuendeshe.
Kwa hofu yangu juu yako usile na kaa nae mbali atakuendesha
 
jaman kuna dada nimezoeana naye hapa ana undugu na mpangaji wangu
huyu dada ni mjamzito amekuja hapa baada ya kutoswa na mumewe
mozea yangu naye yalikua ktk simu tu kwani alikua anatumia simu yangu kuwasiliana na mumewe!
Sasa ameondoka hapa home ila amekua akiwasiliana nami kwa simu na akiniomba ni mfariji kimapenzi baada ya kutoswa na jamaa yake.
Mapenzi anayotaka ni yale yapeku peku hapo ndio nimebaki dielemma
huyu dada ana watoto watatu wa jamaa mwingine ila naona kama anataka kuishi nami!
Kesho ndio siku ya gemu please naombeni ushauri!

Mkuu hueleweki yeye ndo kakutongoza au umemtongoza wewe?haiingii akilini mtu atoke huko akuambie umgegede peku,kua mkweli
 
Back
Top Bottom