Huyu mdada haeleweki

Huyu mdada haeleweki

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,190
Reaction score
5,046
Wakuu 9D HIYOOO, TANGANYIKA TULIYOPEWA NA MUNGU WA MBINGUNI HIYOOO.

Kuna mdada alikuwa anapta eneo ninalofanyia biashara zangu anauza bisi kwny ndoo, nlimwambia nina vifaa vyote vya mradi wa lishe kama uji, chakula nk naweza kukupa kwa makubaliano unanilipa kwa wiki 7000 akafurahi sn akasema nimpe vile anaweza uza uji wa lishe nlimpa na mtaji kbs.

Jamaa zng wakazusha natembea nae kuna wengne wakamfata na kuanza kuniponda kwmb wao wanaweza kumpa pesa na vtu bora kuliko nlivyompa lakn hakukubali.

Kuna mwamba amemfata na kumwambia yuko tyr akamtambulishe kwao na kumpangshia pa kuishi na kumpa mtaji wa biashara anayoitaka lakn demu kachomoa zaid raia wananisema mimi ndo chanzo wkt mi stembei naye.

Ajabu mi nikpga cm au kutuma sms haraka amejbu na anapenda niwe naenda kwake kumtembelea na nikikutana nae anataka tuongee tu hata kama ni sku nzma full kufurahi mkumbuke mi sjampa ktu kikubwa wapo raia wana hela kuliko mm kawachomolea.

JE WAKUU HUYU MTU ANANIELEWA MIMI KWA LIPI HASA MAANA KAMA NI PESA MI SIMPI?
 
Hapana huyo dada ni mtu muelewa na mwenye upeo wa kuona mbali na ni mwenye fadhila anakuheshimu kwa vile ulimsaidia.
Ila usije ukakurupuka kumtongoza atakuchukulia na wewe ni muhuni kama hao wasela wengine tu na ukaribu wenu utakufa.
Kama ni ishu ya mahusiano labda ajiingize yeye mwenyewe ila sio wewe ndio ufosi
 
Wakuu 9D HIYOOO, TANGANYIKA TULIYOPEWA NA MUNGU WA MBINGUNI HIYOOO.

Kuna mdada alikuwa anapta eneo ninalofanyia biashara zangu anauza bisi kwny ndoo, nlimwambia nina vifaa vyote vya mradi wa lishe kama uji, chakula nk naweza kukupa kwa makubaliano unanilipa kwa wiki 7000 akafurahi sn akasema nimpe vile anaweza uza uji wa lishe nlimpa na mtaji kbs.

Jamaa zng wakazusha natembea nae kuna wengne wakamfata na kuanza kuniponda kwmb wao wanaweza kumpa pesa na vtu bora kuliko nlivyompa lakn hakukubali.

Kuna mwamba amemfata na kumwambia yuko tyr akamtambulishe kwao na kumpangshia pa kuishi na kumpa mtaji wa biashara anayoitaka lakn demu kachomoa zaid raia wananisema mimi ndo chanzo wkt mi stembei naye.

Ajabu mi nikpga cm au kutuma sms haraka amejbu na anapenda niwe naenda kwake kumtembelea na nikikutana nae anataka tuongee tu hata kama ni sku nzma full kufurahi mkumbuke mi sjampa ktu kikubwa wapo raia wana hela kuliko mm kawachomolea.

JE WAKUU HUYU MTU ANANIELEWA MIMI KWA LIPI HASA MAANA KAMA NI PESA MI SIMPI?
Kwa akili hIzi tunasafari ndefu sana mikononi mwa CCM
 
Wakuu 9D HIYOOO, TANGANYIKA TULIYOPEWA NA MUNGU WA MBINGUNI HIYOOO.

Kuna mdada alikuwa anapta eneo ninalofanyia biashara zangu anauza bisi kwny ndoo, nlimwambia nina vifaa vyote vya mradi wa lishe kama uji, chakula nk naweza kukupa kwa makubaliano unanilipa kwa wiki 7000 akafurahi sn akasema nimpe vile anaweza uza uji wa lishe nlimpa na mtaji kbs.

Jamaa zng wakazusha natembea nae kuna wengne wakamfata na kuanza kuniponda kwmb wao wanaweza kumpa pesa na vtu bora kuliko nlivyompa lakn hakukubali.

Kuna mwamba amemfata na kumwambia yuko tyr akamtambulishe kwao na kumpangshia pa kuishi na kumpa mtaji wa biashara anayoitaka lakn demu kachomoa zaid raia wananisema mimi ndo chanzo wkt mi stembei naye.

Ajabu mi nikpga cm au kutuma sms haraka amejbu na anapenda niwe naenda kwake kumtembelea na nikikutana nae anataka tuongee tu hata kama ni sku nzma full kufurahi mkumbuke mi sjampa ktu kikubwa wapo raia wana hela kuliko mm kawachomolea.

JE WAKUU HUYU MTU ANANIELEWA MIMI KWA LIPI HASA MAANA KAMA NI PESA MI SIMPI?
Kwa mambo haya kweli tanganyika tutaipata?
 
Kwa akili hizi tutakomboa
Wakuu 9D HIYOOO, TANGANYIKA TULIYOPEWA NA MUNGU WA MBINGUNI HIYOOO.

Kuna mdada alikuwa anapta eneo ninalofanyia biashara zangu anauza bisi kwny ndoo, nlimwambia nina vifaa vyote vya mradi wa lishe kama uji, chakula nk naweza kukupa kwa makubaliano unanilipa kwa wiki 7000 akafurahi sn akasema nimpe vile anaweza uza uji wa lishe nlimpa na mtaji kbs.

Jamaa zng wakazusha natembea nae kuna wengne wakamfata na kuanza kuniponda kwmb wao wanaweza kumpa pesa na vtu bora kuliko nlivyompa lakn hakukubali.

Kuna mwamba amemfata na kumwambia yuko tyr akamtambulishe kwao na kumpangshia pa kuishi na kumpa mtaji wa biashara anayoitaka lakn demu kachomoa zaid raia wananisema mimi ndo chanzo wkt mi stembei naye.

Ajabu mi nikpga cm au kutuma sms haraka amejbu na anapenda niwe naenda kwake kumtembelea na nikikutana nae anataka tuongee tu hata kama ni sku nzma full kufurahi mkumbuke mi sjampa ktu kikubwa wapo raia wana hela kuliko mm kawachomolea.

JE WAKUU HUYU MTU ANANIELEWA MIMI KWA LIPI HASA MAANA KAMA NI PESA MI SIMPI?
Taifa kwel
 
Back
Top Bottom