Huyu jamaa anafanya kazi ya hatari sana

Huyu jamaa anafanya kazi ya hatari sana

tamu 3

Member
Joined
Dec 11, 2024
Posts
88
Reaction score
216
Huyu jamaa anafanya kazi ya hatari sana,
Ajabu AKIPATA tu hela yote kwenda kuhonga ,

Kwani sisi wanaume shida ni Nini?

Screenshot_20250510-214104.jpg
 
Mwanaume au Wanaume ? Usigeneralize vitu.

ni Mme wako ? Unampa umuhimu wa kumfanya afeel ni mfalme au unaishi nae kama fagio. Embu ongeza nyama nyama ueleweke, upewe ushauri unaoeleweka .
 
Back
Top Bottom