dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,412
- 15,995
Nimepita mahali nikaona mapicha picha ya kijana mwenzetu dj yule wa kupiga miluzi jina limenitoka amepost picha ya ghorofa lake pmj na gari kadhaa hapo nnje yenye thamani kubwa ya dola za kimarekanj zipatazo dollars $700,000 Hivi.
Sasa Kam kawaida yangu mzee wa kohoji hoji nauliza Ni udj tu au kuna mengine nnje ya pazia.
Mbona mm mwaka 2002 had 2020 nilikuwa dj na sijapata mawe ya maana zaidi ya misozi na mitungi tu kwenye mahaurusi na kuchukuwa piss Kali ila pesa hakn inakuwaje dogo huyu kunipita parefu?
Sasa Kam kawaida yangu mzee wa kohoji hoji nauliza Ni udj tu au kuna mengine nnje ya pazia.
Mbona mm mwaka 2002 had 2020 nilikuwa dj na sijapata mawe ya maana zaidi ya misozi na mitungi tu kwenye mahaurusi na kuchukuwa piss Kali ila pesa hakn inakuwaje dogo huyu kunipita parefu?