Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
kwanza kabisa heshima kwenu,kuna kazi nimepewa ya kuweka hili ombi la rafiki yangu wa kike mmoja anaetaka mchumba..yeye kigezo chake ni uaminifu tu..tiririka pm ulipo na kama una cha kuniambia ili nijue nitamfowadia namba za mtu mmoja tu na alete feedback.